MAANDALIZI YA KILIMANJARO MARATHON YA VODACOM 5KM FUN RUN YANAENDELEA KWA WASHIRIKI KUJIANDIKISHA NA KUJIANDAA NA MAZOEZI MJINI MOSHI. WATU WENGI WAMEJITOKEZA KUSHIRIKI KATIKA MBIO HIZO MWAKA HUU AMABAZO ZITAANZIA NJE YA GETI LA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI - MUCCOBS URU ROAD, KUELEKEA MZUNGUKO WA YMCA, WAKIMBIAJI WATAPITA KIBO ROAD HADI MZUNGUKO WA MNARA WA SAA, KISHA WATAPANDA KUPITIA BOMA ROAD HADI MAHAKAMA YA WILAYA YA MOSHI KISHA KUELEKEA BARABARA YA ARUSHA HIMO HADI MZUNGUKO WA YMCA NA KURUDI UWANJA WA USHIRIKA.
wadau wakijiandikisha
foleni ya kujiandikisha
wadau kibao
WASANII WA KEMMON ENTERTAINMENTS WALIKUWEPO KUHAMASISHA MAMBO MBALIMBALI PAMOJA NA KUJIANDIKISHA KUSHIRIKI KATIKA MBIO HIZO.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...