kikosi cha Simba
kikosi cha Yanga
Simba inaonekana imejiimarisha zaidi baada ya wachezaji wengi wa mikoani akiwemo Francis Makalaa aliyewahi kuichezea Simba miaka ya Nyuma kuthibitisha kuwepo kwenye mpambano huo,Kuhusu Nteze John bado viongozi wa Simba wanaendelea kumtafuta kwa udi na uvumba,Nteze anaishi Washington State alisahawahi kua mchezaji wa kutumainiwa Simba na Timu ya Taifa.kabla hajajiunga na Simba,alikua mchezaji wa Pamba ya Mwanza.
Kambi ya Yanga imekua kimya Kocha Yasini Randi amesema Simba wacha waongee,msema ukweli dakika 90,sisi bwana tupo tunaendelea vizuri na kambi yetu,sisi tunaingia uwanjani kama YANGA IMARA KUFUNGWA DAIMA MWIKO.
Jumamosi April 3 kutakua na mechi nyingine ya Stars na Maryland untd,itakayochezewa 18031 central park circle,Boyds,Md,20841,uwanja # 20
mechi hii ni moja ya mechi za kujinoa ya Stars kwa safari ya kuelekea Sweden july mwaka huu,mechi nyingine ya Stars ni April 24 mjini Boston itapambana na Zambia
Afisa ubalozi amekubali mualiko kuwa mgeni rasmi kwenye kindumbwe dumbwe cha Simba na Yanga,mechi inayozungumziwa mjini Washinngton na vitongoji vyake,
Mpambano huo wa kukata na shoka utachezwa jumapili April 4 kwenye wanja jipya la 1417 Kalmia St,Nw,Washington Dc,kambi zote zipo shwari na zinaendelea vizuri na mazoezi.
Mpambano huo wa kukata na shoka utachezwa jumapili April 4 kwenye wanja jipya la 1417 Kalmia St,Nw,Washington Dc,kambi zote zipo shwari na zinaendelea vizuri na mazoezi.
Simba inaonekana imejiimarisha zaidi baada ya wachezaji wengi wa mikoani akiwemo Francis Makalaa aliyewahi kuichezea Simba miaka ya Nyuma kuthibitisha kuwepo kwenye mpambano huo,Kuhusu Nteze John bado viongozi wa Simba wanaendelea kumtafuta kwa udi na uvumba,Nteze anaishi Washington State alisahawahi kua mchezaji wa kutumainiwa Simba na Timu ya Taifa.kabla hajajiunga na Simba,alikua mchezaji wa Pamba ya Mwanza.
Kambi ya Yanga imekua kimya Kocha Yasini Randi amesema Simba wacha waongee,msema ukweli dakika 90,sisi bwana tupo tunaendelea vizuri na kambi yetu,sisi tunaingia uwanjani kama YANGA IMARA KUFUNGWA DAIMA MWIKO.
Jumamosi April 3 kutakua na mechi nyingine ya Stars na Maryland untd,itakayochezewa 18031 central park circle,Boyds,Md,20841,uwanja # 20
mechi hii ni moja ya mechi za kujinoa ya Stars kwa safari ya kuelekea Sweden july mwaka huu,mechi nyingine ya Stars ni April 24 mjini Boston itapambana na Zambia
Yanga kumdondosha Mnyama ni ngumu...kwani mwaka huu wachezaji wooote simba watakuwepo.Mwakajana Mlituvizia wakati wachezaji wetu wengi wapo kwenye mashindano ya college.
ReplyDeleteWabongo tungependa sana kwenda Sweden, lakini kitendawili cha makaratasi bado ni kigumu.
ReplyDeletekaka mbona matokeo ya man u siyaoni broo kuna watu wa london tunataka maoni yao kuhusu mechi.
ReplyDeleteankal bwana yaani umeshindwa kuweka picha za champion league unavunga na hao wauza sura...
ReplyDeletehe he he jana sijaona yale manjonjo ambayo mtu anafanyaga akiwa mgongoni... hee heee kumbe mbeleko ilikuwa hakuna... hee hee kitu mimba mshikaji kuja kupona miezi tisa...
KWA NIABA YA CHAMA LA YANGA MJINI HOUSTON,TEXAS......TUNAWATAKIA MAFANIKIO YANGA,DC KATIKA MPAMBANO HUO MKALI,WEMBE NI ULE ULE....
ReplyDeleteMKEREKETWA NA MCHEZAJI WA YANGA,HOUSTON,TX
ANDREW SANGA AKA BABA ZOE.