Home
Unlabelled
ally na jamillah wameremeta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kula mitimiti dawa kwa kwenda mbele
ReplyDeletejamani dada kapendeza kama ua, i like the dress, angesmile kidogo tu jamani she is so beautiful
ReplyDeleteHongera Bwana Harusi na Bibi Harusi.
ReplyDeleteNina swali moja dogo: Vazi la Bwana Harusi ni la mila za Wamanga (WaOmani). Je, alitokea huko au analipenda tu vazi la watu wa Kimanga?
hivi suruwali, na shati yaani suti ni mila ya nani? Kule urambo, Songea kote wanavaa vilemba navyo vya Oman vilevile? This is a free world unaweza kuvaa chochote unachopenda au sio acheni kaubaguzibaguzi. Bwana harusi kapendeza sana. That is dress is very expensive too. Mwenye enzi Mungu akubarikini bwana na bibi harusi.
ReplyDeleteKama Anonymous said 3.3.01.09 pm alivyouliza na mimi pia na uliza Bwana Harusi waOman? hayo mavazi na hilo jambia???
ReplyDeleteBibi harusi amependaza,ila sijui alikuwa anaogopa nini?Maana hajatabasamu hata kidogo!
ReplyDeletehongera kwa kupata bi mzuri mpe mapenzi ya kweli ama laa utaporwa
ReplyDeletematumbi wa east africa kavaa vazi la kiarabu na jambia juu.haibu tupu
ReplyDeletekwa nini watanzania siku hizi tumekuwa na ugonjwa wa upungufu wa heshima kwa mila na desturi za watu fulani,naomba kukujibu uliyeuliza swali la kizushi,KWANI NAWE UKIVAA YALE MAGUO YAKO UNATOKEA ROMA AU UNAPENDA VAZI LA WAROMA
ReplyDeleteduh!!
ReplyDeletekazi ipo
Bi harusi anaonekana kama naogopa ogopa..angalia picha zote vizuri
ReplyDeleteHongereni jamani! mmependeza!
ReplyDeleteFrom JJ
Kapendeza sanaaa na joto la dar shela yake not advised ila she must wear diniii atiii
ReplyDeleteBi harusi umependeza kupita maelezo ila umenuna kama vile umelazimishwa mume, au kama hutaki kumuona, unahangaika kukumbatia ua badala ya kumshika mkono mumeo. Uko so tense kama vile unaenda vitani jamani.
ReplyDeleteyaani mama Binti alikuwa center of attention, it seems this is her first wedding, maanke ameakikisha kila kitu kinakwenda sawa. well done mama
ReplyDelete@ any 01:09pm,
ReplyDeleteSo does tie and shirt, and suruali and kaputula and shoes nakadhalik na nakadhalika, they are all either western, mixed, basically what's your point.
Wajinga ndio waliwao !
Anonymous wa Wed Mar 03, 01:09:00 PM .... na siku ya mnuso alivaa suti, je alitokea huko au anapenda tu vazi la mila za wazungu....? Kuvaa kanzu ni Sunna kitu ambacho kwa imani yake anapata thawabu na asipovaa basi hafanyi dhambi... Ni maamuzi binafsi tu.
ReplyDeleteHE HE HE! HIVI HATA HAWA WENZETU WANAVAAGA MAGAUNI HAYA!! AU KIZURI HUIGWA?
ReplyDeleteHONGERA UMEPENDEZA SANA ILA SIJUI KWA NINI HAUTABASAMU HATA KIDOGO.
mmoja katoka ki oman mwezi kizungu apo kazi hipo lakini mlipendeza kuliko bi fulani anajijua
ReplyDeleteBi arusi ebu smile kidogo basiiiii umenuna moja kwa moja!!! Kwani ndoa hii ni ya kulazimishwa?
ReplyDeletemungu awape maisha bora ktk ndoa yenu! ushauri wangu kwa wabunifu wa mavazi tunaomba mjaribu kubuni vazi la harusi la kitanzania,vinginevyo tutajikuta bado tuna ukoloni mambo leo
ReplyDeleteBibi harusi mrembo kweli kweli. Hongera Bwana Harusi. Inaonekana wote ni wamanga.
ReplyDeletekwa kweli mlipendeza sana maharusi, hongereni na mungu aajaalie maisha bora na yenye furaha
ReplyDeleteKwako anony wa watatu, kwani mtumbatu akivaa suti kwenye harusi ina maana ana asili ya uzungu au amependezewa tu?
ReplyDeleteMTOA HOJA # 3, NI KWELI HILO NI VAZI LA KIMANGA NA HUENDA AKAWA HANA ASILI YA OMANI, KWANI UBAYA KUVAA???
ReplyDeleteMBONA HUJAULIZA WATU WANAOVAA MASUTI NA TAI KANISANI KAMA WAO WANA ASILI YA UZUNGU???
hawa maharusi basi hata kucheka au wazazi walikuwako pale ndio maana. afu michuzi punguza resolusheni yako ya kamera manake bibi harusi poda imeonekana nyingi mno. tunajua una vyombo vya sasa ka michu.
ReplyDeleteHONGERA MAHARUSI kuanzia sasa marafiki chagueni kuna watakaotaka kuwavunjia nyumba, kaeni vizuri msisikilize umbea wa watu.
To my Sweetheart Jamillah and your Man Ally...
ReplyDeleteWishing you Love, Luck & Happiness to last day....Tomorrow & ever after!
HEARTY CONGRATULATIONS ON YOUR WEDDING!!!
Shangazi Santia (jamila)..
KIJANA HAKUWA TAYARI NAONA HAJUI HATA KINACHO ENDELEA.
ReplyDeletewatu wivu na mtima nyongo viwauwe.angalieni kwenye 8020fasion blog muoeni kitchen part ya huyo binti ilivyokua.nyie mnaochokonoachokonoa kuhusu mavazi hivi mnajua hayo mavazi babu mnayoyaona babu kubwa ni ya kuiga tu wala si ya kiafrica halisi/wa kanisani wanaiga mitindo ya kizungu,wa msikitini wanaiga mitindo ya kiarabu,kwenye big day yako wewe ndo mwamuzi ukitaka kuvaa kichina au kihindi is up to you!!1mbona hatuwaoni manisani na misikitini mmevaavibwaya,khanga na khaniki kwenye maarusi yenu?roho mbaya tu mtu akipendeza mnatafuta sababu,dini zenyewe tuliletewa na wangeni(wakoloni)asili yetu ni kuabudu miti, maji n.k,alafu tunajitia kuelewa mambo,sasa kama bwana harusi kavaa kama mtu wa oman so what?si anaiga tu kama wengine wanavyovaa suti za kizungu kwenye joto la DAR!!acheni kiroho pupa wamependeza naMUNGU awajalie kwenye ndoa yao iwe ya amani na upendo.
ReplyDeleteKila mtu na macho yake mimi naona maluelue tu: Bi harusi kavaa nguo ya harusi ya kikristo bwana harusi kavaa nguo ya kiislamu,naona kuna Ustaadhi lakini padre hayupo!!Mmmh shughuli....!
ReplyDeleteHakuna utamaduni wa kizungu wala wa kikristo hapo. Hawawezi kutabasamu hata tone!!!!
ReplyDeletemichu michu michuzi
ReplyDeleteshukran mkuu kwa kutuwekea burudani hii katika blog yako lakin nina swali naomba kuuliza.Hivi waisalamu tunaruhusiwa katika kidini kufanya hivyi hadharani meaning kichwa wazi etc.nijibuni wahishimiwa.
kuleeeee kwetu tunasema jongooooooo kaingia mchuzini kweli harusi nzuri musione mtu rangi mukasema kavya nguo ya kimaanga hamujui kuwa waarabu pia wapo rangi hizi ila bwana harusi alitakiwa kilemba chake kifungwe vizuri cheupe na johoo la cream basi hapo naona wadau wote roho zingewauma.pole yenu mlonuna?toronto
ReplyDeleteIslamic hakuna kitu kama hicho, huu ni utundu wao wa mambo ya fedha. Ni mabadiliko ya kidunia ... ustadh aendelee.
ReplyDeleteSio kichwa wazi tu, hata hapo kifuani kwenye mstari panaonekana, na ndo haswa pakufichwa zaidi..alitakiwa kuvaa mguo za wazi kwenye k.party, na ile nguo ya k.party alitakiwa kuvaa huku waliko wanaume sasa ili wasitoe mate atiiii...me sijafurahia tu!! hiyo nguo nina uhakika baada ya hapo kaenda kufanyiwa massage mana ni nzito mnooo!!
ReplyDeletekwanza Maharusi Hongereni,
ReplyDeletePili
Hili la kununa kwani hamjui kilichomnunisha BI HARUSI na kwanza hajanuna ila mawazo jeeeee?? itakuwaje usiku mana mke bikra mume ndio hivyo nae kapania utaacha kuwa na mawazo halooooooo!!!!!!!!! maneno hayo ya mtu ys mzima
HAYA HABARI NDIO HIYO JIBU NIMEWAPA
Sasa kwani alilazimishwa kuolewa huyo dada???!!! mbona haoneshi hata uso wa furaha.. Hata zawadi nayo hajafurahia??!! mh!!
ReplyDeleteAmependeza sana!!
Rabia