Home
Unlabelled
ZANTEL YAIBUKA NA GUMZO PHONES
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kwa ufupi MMEUA.....MUMEMALIZA UBISHI.......Hakuna cha mfanyabiashara ndogondogo wala kubwa kubwa.....Tuelezeni upatikanaji wake kabla stock haijaisha......na ufungaji wa hiyo ya mezani ndo ukoje......TUNAOMBA MAELEZO ZAIDI
ReplyDeleteDuuuu Brian..long time man! umenikumbusha Old moshi.
ReplyDeleteSijui vizuri lakini seems is a good offer,kama wanachongea ni kweli na mitambo yao ina quality nzuri ya watu kuongea sehemu kubwa na sauti nzuri ...naona makampuni mengine yakipoteza wateja kwa hawa jamaa haraka sana na wao itabidi waje na hii plan au bora zaidi,mambo ya biashara hayasafi sana Zantel kama mnachoongea ni kweli,isije ikawa kuna catch hapo.
ReplyDeleteDuuu!! Mpinga, long time..... tangu Siha Sec. Looking good man. Congrats on what you're doing.
ReplyDeleteVOIP phone sio, ila bado ni gharama kubwa kidogo..
ReplyDeleteitashuka tu ngoja fiber isambae tz nzima
mie alinifurahisha ni huyo alieweka simu yake inase sauti kisha ikaanza kuvaibleti, sijui inaaleji na mikrofoni!Ila wadau simu za siku hizi zina ofu laini modi, ingekuwa bora huyo mdau angefanza hivyo kuliko kujiembaras
ReplyDeleteHaroo pale hamna kitu. Hawa wenzetu wa ziwa magahribi wakishaingilia soko fulani ujue hiyo bidhaa feki. Huyu mushaija alikuwa akieleza yasiyoeleweka kwenye luninga ikabidi asaidiwe. Si mnakumbuka mradi wa OKO? na ile dawa ya meno sikumbuki ilikuwa initwaje! bwana hawa watu walijaaliwa. Lakini big up watani. mlinyimwa urais na Baba wa TAIFA jikiteni sokoni.
ReplyDeletemtueleze vizuri...gharama hiyo ni zantel kwa zantel au la? na kama ukitumia toka zantel kwenda mtandao mwingine ni gharama tofauti basi iwekwe wazi....
ReplyDeleteotherwise,nice product
Mpinga marketing Manager?kaburu aliondoka nini?Safi sana,vijana wadogo wamekula suti kali na zimewakubali...hongereni zantel kwa ofa nzuri!
ReplyDeletechoo cha kike......
ReplyDeleteHapo juu mtoa maoni ameiponda hiyo offer kwa kuwa mushaija yupo. Hawa washaija huwa wana akili kweli kweli. wakiamua kufanya kitu cha ukweli wanafanya, wakiamua kuwa matapeli,wanakuwa matapeli wa ukweli. Sasa tusubiri hii ofa tuone.
ReplyDeletewivu unakusumbua wewe! &*8**%%$$##@!!!"??><....^
ReplyDeleteHi kalokola kwa mara ya tena.kula vichwa mzee.CONGRAT.BM(UK).Fanya jitihada tuwasiliane sina contact tangu utoke huku.Naamini no yangu bado unayo.
ReplyDeleteasante zantel kwa ofa nzuri. mimi natumia hiro risimu renu ra mezani kwa maongezi na kwa internet. aisee munanisaidia sana kwa hii ofa
ReplyDelete