
Na Ripota wetu, Cairo
Sheikh Mkuu wa Tanzania Sheikh I ssa Shaabani Simba (shoto) akiwa katika picha ya pamoja na Sheikh Mkuu wa Misri (Sheikhul-Azhar v-GRAND SHEIKH OF AL-AZHAR - Pr,) Dr Muhammad Sayyed Tantawyi katika Ofisi zake za Masheikhatul-Azhar zilizopo mji wa Darassa mwezi jana.
Habari zinasema Dr. Tantawyi amefariki dunia huko Misri.
Sheikh Mkuu wa Tanzania alikuwa nchini Misri kuhudhuria Mkutano Mkuu wa 22 (The 22nd General Conference. Under the Title The Objectives of Shariah(Islamic Law)And Issues of the Contemporary Age.
Marehemu amefariki leo saa 12:00 asubuhi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mjini Riadh Nchini Saudi Arabia akijiaanda kwa safari ya kurudi Nchini Misri.
Sheikh alikuwa Nchini Saudia Arabia Kuhudhulia Hafla ya ugawaji wa tunzo ya Mfalme Faisal iliyokuwa ikigaiwa kwa baadhi ya viongozi kutoka Nchi mbalimbali akiwemo Waziri Mkuu wa Uturuki.
Sababu za kifo chake ni Presha(Mshtuko wa Moyo) uliomtokea Ghafla akiwa kwenye ngazi ya Ndege,Taarifa zinasema hali hiyo imetokana na Uchovu aliopata kutokana na Shughuli hiyo ya jana.
Inna lillah Wainna illaih Raji'un!
ReplyDeleteAJUAE BWANA MUNGU KWA MZIMA KUWA MFU MGONJWA KUWA SALAAMA WOTE TUNAWAPA POLE.
ReplyDeletekazi ipo,juju la tanzania kumbe ni noma.
ReplyDeleteMtoa maoni wa tatu inabidi ukapimwe akili yako ili ijulikane ina kilo ngapi?
ReplyDeleteinna lillahi Mola amrehem lakini alikuwa ana wa judge sana waislam wengine bila kujua mwanzo wa mambo mengi.Masheikh wengi wana penda kutoa comments zao bila kuchunguza chanzo cha tukioh hii yote ni katika ku wa please waliokuwa si waislamu.Mola atupe subira.
ReplyDeleteinna lillahi wainna ilahii rrajuynii
ReplyDeleteANKAL MICHUZI MIMI MDOGO WAKO NATAKA KURUDI HUKO NYUMBANI KWA AJILI YA UJENZI WA TAIFA LETU
ReplyDeleteSASA KATIKA MOJA YA MIPANGO YANGU NILIYOFIKIRIA NIKIRUDI HUKO NI KUJARIBU KUGOMBANIA UBUNGE WA MKOA WANGU
NILIKUWA NAOMBA USHIRIKIANO WAKO ILI NIWEZE KUPATA NAFASI HIYO UWE BEGA KWA BEGA NAMIMI
UNISAIDIE KATIKA KAMPENI NA KUNITANGAZA VYEMA
NIMEJIANDAA GHALAMA ZA KAMPENI ILI NIWEZE KUCHAGULIWA NA KUONEKANA NITAKUWA MCHAPA KAZI WA KWELI
NIMEJIANDAA NA VITU KAMA IFUATAVYO KWENYE KAMPENI YANGU
1.KUWACHIMBIA VISIMA VYA MAJI
2.KUWANUNULIA MADAWATI YA SHULE
3.KUANZISHA MIKOPO KWA KINA MAMA
4.KUWANUNULIA VIFAA VYA MICHEZO
5.KUIMARISHA HUDUMA ZA MATIBABU
HAYO NDIO MAANDALIZI YANGU NA MENGINE MENGI
ANKAL NAOMBA UNIPATIE MAJIBU KAMA UTASIMAMA NAMIMI KATIKA KIDEDEA HICHO CHA KUOMBA UBUNGE.
WADAU MNAWEZA KUNIPA USHAURI JUU YA HILO KWA LENGO LA KUJENGA TAIFA LETU NA KUONGEZA NGUVU MPYA YENYE MFUMO WA KISASA KABISA.
MDAU MWENZENU.....MPIGA BOKS UZUNGUNI.