Mkurugenzi Mwandamizi wa ghazeti la Jamboleo Ben Kisaka (katikati)akiongea na Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) na Mkurugenzi wa maswala ya uhusiano Mwamvita Makamba(kulia) katika ofisi za ghazeti hilo ambapo mtandao huo unaendelea kutembelea vyombo vya habari na kufikisha ujumbe wake wa kushusha gharama ya kuongea kwa shilingi 1 kwa sekunde siku nzima kwa wateja wa Vodacom.
Mkurugenzi Mwandamizi wa ghazeti la Jamboleo Ben Kisaka (katikati)akiongea na Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) na Mkurugenzi wa maswala ya uhusiano Mwamvita Makamba(kulia) katika ofisi za ghazeti hilo ambapo mtandao huo unaendelea kutembelea vyombo vya habari na kufikisha ujumbe wake wa kushusha gharama ya kuongea kwa shilingi 1 kwa sekunde siku nzima kwa wateja wa Vodacom. 

pinto naona bongo umesha fika sasa
ReplyDelete