Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akifunguwa mkutano wa siku mbili kwa Viongozi na Mawaziri wa Mazingira wa Nchi za Bara la Afrika ulioambatana na Maadhimisho ya siku ya Mazingira Afrika katika kituo cha mikutano cha AICC Mjini Arusha leo,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiangalia vitabu vya aina mbalimbali vinavyoelezea juu ya utunzaji wa mazingira kwenye maonesho ya maadhimisho ya siku ya mazingira Barani Afrika yaliyoadhimishwa leo katika kituo cha mikutano cha AICC Mjini Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein katikati, akiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Arusha pamoja na Mawaziri wa Mazingira wa Nchi za Bara la Afrika, mara baada ya kufunguwa mkutano wa siku mbili ulioambatana na maadhimisho ya siku ya mazingira Afrika katika kituo cha mikutano cha AICC Mjini Arusha leo



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Wow! Shule ya secondary ya Arusha wamependeza sana. Shule yangu jamani. Mbona wanaonekana wadogo sana au ndio mimi nimezeeka mweeeeeee

    Siku nyingi sana sijui wale walimu bado wapo...Hebu jamani twambieni ni walimu gani wapo hapo?

    katika shule na vyuo vyote nilivyopita hiyo ndio shule ninayokumbuka nilienjoy. Niliweza kumake real trusted friends there baada ya hapo ......

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...