Home
Unlabelled
Maulid ya Mtume (S.A.W) ya kinamama Mikocheni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kidumu chama cha mapinduzi ,jamani hadi kwenye maulid.......
ReplyDeletekaka kuvaa kijani kiislam ni sunna,na ndo maana unaona mataifa mengi ya kiislam yanatumia rangi ya kijani kwenye bendera zao.kijani ni rangi ya kiilam ilotumika hata katika vita.wadau wasije wakadhani kampeni kwenye maulidi.
ReplyDeleteDuh! Wakina mama oyeee! kidumu chama cha mapinduzi! zidumu fikra za mwenyekiti!
ReplyDeleteWatu wataumwa kweli na hiyo rangi, utafikiri hawajui kuwa waislam huwa wanatumia rangi ya kijani kwenye bendera zao na shughuli zao mbali mbali. Hakuna cha ajabu hapo lakini utashangaa maoni yatakayotolewa humu.
ReplyDeleteVile vile inawakumbusha kuwa chama cha TAA kilichokuja kuanzisha TANU na baadae ikazaliwa CCM waasisi wake ndio waliochagua hiyo rangi kwa kujua maana yake. Kwetu sisi ni faraja kuwa angalau hiyo rangi inatukumbusha Waasisi wa TAA na TANU, na waliopigania uhuru wa nchi hii wakati wengine wakijificha "maka....." kuogopa mabwana wa kizungu ambao wanaendelea kuwaogopa na kuwaabudu mpaka leo!
IT IS TO MUCH POLITIKING.
ReplyDeletehongereni kina mama kwa hiyo maulid vilevile Big up Mdau uliyeelekeza kuhusu rangi ya kijani
ReplyDeleteRehma na Amani Zimshukie Mtume Muhammad(S.A.W)
Ahsante kaka Michuzi nakukubali
salaamu alaika ya HabiibaLlaha,
ReplyDeleteWewe madau hapo juu kijani ni suna, na njano iliyopo katika hizo kanga pia ni nini? You don't have to be a rocket scientist to know what do those colors stand for ...
ReplyDeletehata kama ni sunna hiyo kijani bin yeboyebo (njano) ilikuwa inalenga u ccem tuu
ReplyDeleteGREEN is the colour of Islam
ReplyDeleteThe prophets (saw) favourite colour was green
Islamic armies marched behind green flags
Green symbolises freshness,life,cleanliness
Paradise is green and those in paradise will wear green garments of fine silk Quraan 18:31
Al Islaam means obedience to God
Wakatabahu
RANGI YA KIJANI NDIYO ISHARA YA UISILAMU SAWA SASA NYIE MNAOTUFAFANULIA MBONA MNAISHIA HIYO TU, NJANO HAMUIONI?
ReplyDeleteMBONA WANADAMU HAMNA JEMA, WANGEVAA NYEUPE BLUE NA NYEKUNDU MNGESEMA CUF, KILA RANGI AMBAYO WANGECHAGUA LAZIMA MSEME NENO, ACHENI HAYO MAMBO MWACHENI MTU AAMUE RANGI APENDAYO, KWANI HAPO WANAPIGA KAMPENI SI WAPO KWENYE SHUGHULI ZA KIDINI, MBONA WAPO WATU WANAVAA KIJANI NA NJANO KWENYE HARUSI ZAO LAKINI HAMSEMI NI POLITICS, ACHENI MAJUNGU.
ReplyDelete