Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 26 mpaka sasa

  1. Duuuh...kweli ze fulanazzz inanguvu kweli, wenzako wote wamepiga kanzu wewe ze fulanazz...Idumu fulanazzzz...!!! Fulanazzzz daima!

    Chibi.

    ReplyDelete
  2. ankal kila nguo na mahala pake,kama hivyo basi uwe na kanzu itakayo fanana na hiyo mistari ya kwenyer fulaaaaanaz.

    ReplyDelete
  3. Maulidi ya kinamama nyie kina baba mlikuwa mnatafuta nini? Naona mnajichana biriani la Maulidi ya Kinamama wa Kiislam wa Mikocheni hapo! Bisha kama sio kweli?

    ReplyDelete
  4. Ankal Naona Umesahau kukaa kwenye jamvi sasa hahahaahah ushazoea Table 4 two kushika mikonozz hahaha kama umeonewa hahaahah. Pazi.

    ReplyDelete
  5. hiiiiii! Ankal katuwakilisha na Ze Fulanazzzzzzzzzzzzzzz!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  6. Ankal, are you serious na huo ujazo au ni masuala ya photo-op!

    ReplyDelete
  7. MICHUZI, HUYO USTAADHI ALIYEKUWEKEA MKONO ANAKUPUNGUZIA AFANISI... HIYO KITU INATAKIWA UWE NA NAFASI ILI UJINAFASI.

    ReplyDelete
  8. ANKAL KWA MPUNGE, MPUNYENYE, MCHEKA NA WATOTO, EBU ANGALIA PUA HIYO INAVYONUSA, MWEEEEEE. NI MAMBO YA WATU WA PWANI HAYO.

    ReplyDelete
  9. ankal vipi bwana watu wote wamekula kanzu wewe tu ndie umekula biriani.

    ReplyDelete
  10. wewe kula ubwabwa SISI TUNASHANGILIA UBNGWA SIMBA OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE

    ReplyDelete
  11. vijiko akuna!!!kaka michuzi kwa jinsi unavyo alikwa kwenye minuso nazani kwako una save sana!!!

    ReplyDelete
  12. Ankal mbona picha hii ya mpunga haina maelezo. nilipenda sana kujua ulikuwa na kina anani na mnuso gani. www.bashir-nkoromo.blogspot.com

    ReplyDelete
  13. Chachandu-Daly Blog, www.bashir-nkoromo.blogspot.comMarch 14, 2010

    Ankal mbona picha ya mpunga haina maelezo? kwani mnuso huu uliufumania wapi?

    ReplyDelete
  14. Naona Ankal uko na Mstahiki Sheikh Daudi Hamisi Danda! Sheikh mkuu wa Kimra Baruti. Msalimie sana mwambie Ustaaadh Kitaulo anamsalimia!!

    ReplyDelete
  15. Ankal nakuona hapo hata storizz utaki kwa mpungwa,,huyo jamaa alievaa kanzu kasema hiyo sahani ilikuwa pili hahahahaha
    Mdau wa Iceland

    ReplyDelete
  16. ankali ukiona mpunga nyama hadi una smile lol.. ila kweli huo mpunga nyama unatamanisha !

    ReplyDelete
  17. ankal inaonekana ulivyokua madrasa ulikua unapenda maulid na khitima.halafu inaonekaana unajenga pembe nne then unamweka sisimizi kati,atakapo elekea huyo sisimizi ndio kwenye eneo la mpunga.

    ReplyDelete
  18. ankal mbona unakula sana lakini hunenepi? kila ninapokuona kuna munuso wa aina fulani fulani......jaribu kupima choo....
    kwani
    umeshacheki minyoo karibuni?

    ReplyDelete
  19. Ngw'anawane Side nakuona hapo na Daudi na Ankal baada ya kukamilisha shughuli ijumaa...Hongera sana mwana mshikambaku!

    ReplyDelete
  20. Ankal tupigie bac hat ze fulanaz nyingine mana wadau tushakrem hii!!!

    ReplyDelete
  21. Basi umenitamanisha kweli. Siku nyimgine basi zoom in hilo lipilao tulione kwa karibu. Nikigoogle kuna vitu ambavyo huvioni kwa karibu kabisa kwenye online.

    Pilau bomba kama hiyo zipo za india tu.
    Kashata huoni kabisa
    Sambusa za bongo hamna
    Yale mabumunda (popcorn brittle)
    Chapati za bongo hamna (zipo za ethiopia)
    Mandazi yapo ya kenya tu

    Yaani vyakula vyetu vya kibongo huvioni kabisa ...mnaopata access ya hivi vyakula basi mpige picha na mkiweka humo kwenye internet muweke kwa jila la kiswahili. Litusaidie siye tunaotamani japo kuona something from home...

    ReplyDelete
  22. Ankal kwenye mnuso huo nasikia umeenda na ndizi yako mwenyewe duh!






    Mdau
    True blue Helsinki.

    ReplyDelete
  23. Huyu ankal nimegundua kitu ze fulanazz ziko nyingi mno maana nilikutananae kwa karibu zaidi ile fulanaz ni mpya kabisa. Ankal tuambie unazo ngapi???? Mdau Alex GN

    ReplyDelete
  24. DE'DANDA.... HAPO JOJI POJI HAYUKO MBALI MAANA NDO SHUGHULI ZAKE HIZO....

    chiggs

    ReplyDelete
  25. wADAU KWA KIFUPI ANKAL ALIKUWA ANAFANYA COVERAGE YA PICHAZ NA FLANAZZZ KWNY MAULID YA NDG YETU SAID NA NDEKAJE MUYA SIKU MOJA BAADA YA NDOA YAO TAKATIFU, KUSHOTO KWA ANKAL NI DAUDI DANDA, KULIA KWA ANKAL NI SAID MUYA BWANA HARUSI NA KULIA MWISHO NI BESTIMAN BW. ALLY SENGA GUGU.
    ANKAL NI NOMA KWA PICHAZZZZZ(TOTAL COVERAGE) KAMERA ZAKE NI MWENDO WA RAPID...... MTUMIE UTAJUA UTAMU WAKE.... DAH AMENIKOSHA SANA, MDAU LWANJI D.

    ReplyDelete
  26. Bro Michuzi, kwani hapo ulipokaa uliishia kuwa hapo hapo mpaka ulipomaliza hiyo sahani? kama ni kweli, basi hukujitendea haki, kwa nini ujibane hivyo? kula hilo bwabwa kwahitaji nafasi ati!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...