KUNA TATIZO LIMEJITOKEZA NASHINDWA
INGIA KWENYE EMAIL YANGU YA YAHOO YA
SHAMYOMY@YAHOO.COM
NAHISI NIMEHACKIWA SABABU INAONEKANA IKO ONLINE NA MTU AKISEMESHWA ANAJIBU.....ILA SIO MIMI
ANGALIZO :: NAOMBA YEYOTE ASIJE AKARUBUNIWA NA YEYOTE KUPITIA EMAIL HIYO YA
NAHISI NIMEHACKIWA SABABU INAONEKANA IKO ONLINE NA MTU AKISEMESHWA ANAJIBU.....ILA SIO MIMI
ANGALIZO :: NAOMBA YEYOTE ASIJE AKARUBUNIWA NA YEYOTE KUPITIA EMAIL HIYO YA
SHAMYOMY @YAHOO.COM
kwa sasa tumieni
kwa sasa tumieni
Asanteni
Shamim Mwasha 'Zeze'


jamani naombeni mnielezee hii kitu mi sielewi elewi vzr, pls anybody explain to me
ReplyDeletehi,
ReplyDeletemimi najitolea kukusaidia kuipata email yako upya...just say yes or no kama unaitaka....
Nenda kwenye webpage ya yahoo, bonyeza link ya i can't access my e-mail, nenda kwenye my account have been compromised. Fuata maelekezo Yahoo watakusaidie kuizuia isitumike kwa muda wa masaa 48.
ReplyDeleteshukran nishafanya hivyo
ReplyDeleteshamim
Na next time acha kutumia public computers to access your email.....kila siku huwa ninawaambia wabongo, public computers are never safe....so be careful people.
ReplyDeleteMdau wa hapo juu kutumia public computer sio tatizo,unaweza kuhackiwa popote pale unapotumia,tena kuhack email ni simple sana website ndo kazi kidogo.
ReplyDeleteComputer Eng.student.
ubatani.
hivi kilo unaongelea kutoka wapi? public computers ndio zipi? halafu 'wabongo' watumie zipi?
ReplyDelete