UVUMI ULIOENEA KWAMBA KUNA KIONGOZI MMOJA MASHUHURI HAPA NCHINI AMEFARIKI DUNIA HAZINA UKWELI WOWOTE, GLOBU YA JAMII IMEGUNDUA.
BAADA YA KUFUATILIA KILA MAHALI, IKIWA NI PAMOJA NA LONDON, UINGEREZA, ILIKOSEMEKANA NDIKO ALIKOFIA AKIWA KWENYE MATIBABU, IMETHIBITIKA KWAMBA MTAJWA KWENYE UVUMI HUO SIO TU YU BUHERI WA AFYA BALI PIA YUMO HUMU HUMU NCHINI.
HABARI NDIYO HIYO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Michuzi kwa KUYEYUSHA sikuwezi.
    Unaogopa kushtakiwa kwa kusambaza uvumi?

    Eti Landan, Uingereza wakati mtu yuko hapahapa Hindu Mandal hapo.
    Mi sijasema lakini.

    Tehe teh tee tee!

    ReplyDelete
  2. kwani huo uvumi ulivumisha kuwa ni kiongozi gani amefariki? sisi wengine hatukuusikia.

    ReplyDelete
  3. LOOOH! Hivi uvumi kama huu huwa unaanzaje? kuna mtu anakuwa ameota kwamba "fulani kafa"? au inakuwaje? Naombeni wananchi mnifafanulie

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...