Ule wakati wa wadau 100 wa mwanzo (kuanzia milioni 8 na kuendelea hadi wa 8,000,100) unakaribia. angalia takwimu chini kuume na ikigota 8,000,000 tu tuma jina na anwani yako uletewe ze fulanazzz za Globu ya Jamii.
Kuna wadau wamekuwa wakituma email zao kabla ya wakati, nami pamoja na kuwashukuru tunawaomba wafanye subira hadi muda utapowadia.
ANGALIZO: Namna ya kutuma email yako itakuwa rahisi sana. Muda utapowadia tutaweka posti ambayo utatakiwa kubofya sehemu ya 'mtumie rafiki yako' pale chini ya posti na weka email yako humo. Si vingnevyo...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Michu!
    kazi nzuri ila mimi sitaki ya TOMBOLA
    nataka ya kununuwa. navaa xxl nitapataje ama nikuone wapi ni nunue ze fulazzzzzz

    ReplyDelete
  2. wewe shangilia the furana na sisis tunashangilia simba SIMBA OYEEEEEEEEEEEEEEEEE

    ReplyDelete
  3. what is so special about these the fulanaz kwa kuangalia tu material yako ni cheap cheap so what else is there?
    ni mtazamo tu.
    usibanie hii kaka silazima wote tupende

    ReplyDelete
  4. what is so special about these the fulanaz kwa kuangalia tu material yako ni cheap cheap so what else is there?
    ni mtazamo tu.
    usibanie hii kaka silazima wote tupende

    ReplyDelete
  5. Kaka Kwenye taarifa ya habari ya leo ya TBC Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania imeona tatizo la mtizamo wa vijana wetu kuwa ni burudani na mapenzi na sio kuwajibika na wametoa wito kwa vyombo vya habari nchini kurekebisha hilo kwa kuhamasisha uwajibikaji.

    Kwa mara ya kwanza nimeona move ambayo sikuitarajia kwa nchi yetu kuifanya, maana hayo ni masuala ya ulaya ambapo taasisi inapoona tatizo inakuja na mkakati wa kulitatua kwa kung'oa mzizi na sio kukata matawi kama ilivyo kwa nchi nyingi za afrika.

    nawapongeza Mamlaka ya mawasiliano na nadhani wanakila sababu ya kuungwa mkono katika hili. Mtizamo wa vijana ukiwa wa kuwajibika maambukizi ya Ukimwi yatapungua, tatizo la ajira litapungua, maendeleo yatakuwepo nk.

    Wadau wanaonaje iwapo suala hili lisiishie Mamlaka ya Mawasiliano bali liwe kampeni ya kitaifa ya kuhamasiha uwajibikaji kwa jamii ya kitanzania?

    ReplyDelete
  6. anony Sat Mar 06, 09:25:00 PM naona unapalilia kibarua chako kwa nguvu zote.

    ReplyDelete
  7. uncle hiyo ya TBC na TCRA naiona kama inajitegemea unaonaje uiweke kama mada inayojitegemea tusikie maoni ya wadai juu ya hoja ya mdau?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...