Ali Kiba akitesa jukwaani wakati wa shoo yake usiku wa kuamkia leo jijini Athens, Ugiriki.
Ali Kiba akiwa na bodigadi wake Tony Heavy D
Ali Kiba akiwa na sponsa wake Shani (shoto) na Kayu
baadhi ya wadau waliohudhuria shoo ya Ali Kiba Athens




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. Hawa wadau wa Ugiriki wanaonekana kama wazamia meli wa enzi hizoo. Enzi za kustorowei. Safi Kiba, lazima nyumba ya pili mwaka huu ukaijengee kwenu kabisa kabisa.

    Ngedere Wahed

    ReplyDelete
  2. Samahani Kaka michuzi umesema ugiriki au Bukoba!! maana naona wamechoka hasa huyo wa mwanzo bora huyo alikiba anaonekana mtu wa ulaya.Hebu angalia uzuri isije kuwa umekosea...

    ReplyDelete
  3. Du... jamaa huko ugiriki choka mbayaaaa.. hamna mabox huko? hakuna anaye smile

    ReplyDelete
  4. Wabongo roho za korosho. Mmetembea kilometer 2 na wengine mmpepanda vipanya kwenda kwa internet cafe mnaloliona la muhimu ni kupoteza muda wenu na kuanza kukosoa watu na kusema wenzenu wamechoka. Mnasema wamechoka lakini Ali Kiba hachoki kuwafuata. Na maendeleo yote aliyoyapata ni kutoka kwa hizo safari za kuwafuata hao mnaosema wamechoka...

    Kwanza wekeni picha zenu tuwaone.....ndio maana mlinyimwa viza....

    ReplyDelete
  5. uuuwiii mbavu zangu mdau wa kwanza hapo juu umeniacha hoi, safi sana ali kiba naona unakubalika anga za kimataifa zaidi endelea kutunga vitu vikali ikibidi toa single moja na mwanamziki kama rihanna utoe kitu cha ukweli kama fally ipupa na olivia wa g unit naamini utaweza sana tuuuu

    ReplyDelete
  6. Long time Heavy-D(Tony)!
    Poa sana, umangani naona na inanipa kumbukumbu za Peraeus ile mbaya,mpe salaam China.
    Sensei Rumadha

    ReplyDelete
  7. ali akiba njoo norway jamani!!kipindi ya summer..mdau

    ReplyDelete
  8. ali kiba umezidi kurembua au mwenzetu mambo flan albaaata!

    ReplyDelete
  9. Ndugu zetu wa ugiriki nawaona wanapendeza sana na hasa nilipowaangalia katika tovuti yao. Na nyie wenye kuona mabaya tu ni vizuri mkawatembelea katika tovuti yao ya www.tanzaniansingreece.com HAPO ndipo mtajua kama ugiriki watu wanapendeza na wala hawajachoka. ukitaka kuangalia waliochoka fungueni site za ......(MTAJIJU)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...