Home
Unlabelled
Benki ya CRDB yakipigika jeki chuo cha Ualimu cha Capital mjini Dodoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera sana Dr Kimei kwa jitihada zako katika jamii.Pia kwa kutujali wateja sitakusahau kwa msaada wako mkubwa wa kunisaidia kufungua Account nikiwa nje ya Tanzania na hatimaye wewe mwenyewe kunipigia simu kunipa maelekezo juu ya kuipokea kadi yangu na maelezo muhimu mengine.
ReplyDeleteNa hata kufuatilia jinsi account inavyoendelea kwa kunitumia SMS!.Pia afisa aneyehusika na wateja pale Tower Branch Dar, pamoja na kuwa hatujawahi kuonana uso kwa kwa uso Asante sana Dada Salma Mkambara kwa msaada mkubwa. sasa naweza kulipa ada ya shule,kulipia huduma mbali mbali huko nyumbani kwa kuingia mtandaoni. hongereni sana CRDB.NA KWAHERI WESTERN UNION!!