Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. mh kwetu ni mabavu tuu watu hawana hata uhuru wa kutoa maoni manake watatimuliwa bungeni ingekuwa poa sana kama hamjakubaliana na hoja mnaipinga kwa power zote mithili ya hiyo picha ndo watu wangeheshimiana huko bungeni

    ReplyDelete
  2. Hii situation ilitakiwa itokee hapo bungeni Dodoma wakati wa kujadili sheria mpya ya madini Tz mpaka kieleweke! but ofcourse bongo mambo yanapitishwa kimiujiza miujiza tu

    ReplyDelete
  3. Eti sisi tumekalia "diplomasia" tuuu japo hata hatuitumii inavyotakiwa...Silaa, hebu mkamate huyo nanihiii kwa kutonyoosha mambo umpe kavu kavu kama 3 hivi kwenye koo, wakati umeshafika sasa

    ReplyDelete
  4. hapo watunga sheria hawakuvunja sheria?

    US Buloga

    ReplyDelete
  5. ofcourse jamaa walikuwa wanapinga kitu cha maana sana kwamba kwanini raisi amesign mkataba wa urussi kuweka majeshi yake nchini ukraine mpaka mwaka 2042 bila kulitaarifu bunge hasa wabunge wa upinzani hawakutaarifiwa juu ya hilo yaani wanakuja kuambiwa wakati rais ameshasahini mkataba!ndipo kumbe wabunge walikuwa tray za mayai na mabomu ya machozi wakaanza kugawa mkongoto kwa wabunge wa chama tawala matokeo yake ndio hayo yaani hii kitu ingekuwa bongo hii nadhani hata ile mikataba mibovu ya madini na ununuzi wa rada mpaka tunarudishiwa na chenchi isingekuwepo heshma ingekuwa mbele na tusingekuwa na wabunge wazee maana yake ukiwa mzee utakuwa wa kupigwa kila siku hasa ukiongea pumba hongera sana wabunge wa ukraine maana hamtaki kupoteza uhuru wenu kwa nchi ya urussi ambayo inawalazimisha kuwatawala kimabavu!mie nadhani ifike bongo nako tuanze kuingia na mayai hapo heshima itakuwa mbele hasa kwa ile mikataba inayopitishwa kimabavu kama ule wa sheria za uchaguzi ambao baadae umerudishwa tena bungeni kwa marekebisho hv wabunge huwa hawaoni kama wanapoteza muda na fedha kitu ambacho rais amekwisha sign tena wanakuja kukirudia bungeni kwa uzembe wa watu wachache wenye kupenda madaraka kwasababu kilishajadiliwa na bunge na kupitishwa wao wakaenda kukaa nacho chemba na kukirekebisha kisha kumpa rais asign naye akasign baadae kikaonekana kimechezewa before rais hajasign kikarudishwa tena bungeni tungekuwa na bunge kama la ukraine makosa kama hayo yasingekuwepo heshima ingekuwa mbele!

    ReplyDelete
  6. Wabunge watanzania wajifunze namna wenzao walivyo na UCHUNGU na nchi, watetee maslahi ya wananchi sio mambo ya kupinga muswada kwenye hoja zake then anaungamkona kwa asilimia 100, hatutafika.

    ReplyDelete
  7. Hii ni demokrasia ya kweli na watu kuwa na uchungu na nchi yao hii ni mfano wa kuigwa duniani kote kuwa kuwa mbunge si kwa manufaa ya familia bali ni kwa jamii inayokuzunguka hapa hufanya hivyo pia kuwa na uhuru wa kuongea chochote ndani ya bunge na si kuongea pembeni kama bunge letu la Tanzania mbunge kuongea bila ruhusa huenda akafukuzwa bungeni lini tutaacha kukumbatia nidhamu za uoga na wakati tunabeba dhamana ya wananchi tunao wawakilisha...tusisubiri miujiza ya mungu tubadilike kisiasa kwa kuwa hapa kama mtu aliahidi pindi anachaguliwa na hakutimiza ahadi zake hawampi mda tena bali wanachagua mwingine hii ni kama waziri mkuu Yulia Timoshenko na Raisi mstaafu Victor Yushenko..
    BY Mdau Ukraine

    ReplyDelete
  8. Sasa hili sio Bunge tena...hata kilabu cha pombe za kienyeji lina afadhali wajemeni duuhh...!!!

    ReplyDelete
  9. Yes ! hili ndilo bunge la haki sio la kwetu "standard and speed" watu inafika mahali wanaona ni upuzi na wanaamua kupigana heko kwa wabungu wa Ukraine.
    Natoa ushauri kwanza badala ya wabumge kukaa kwenye bunge kama wanaangalia sinema ya Rambo wakae wakitazamana kusudi ngumi ziweze pigwa sawasawa.

    ReplyDelete
  10. mie uyo tu alorukia juu na spika kafunikwa mwiavuli hhahahaaa
    jinsi gani watu walivo na uchungu wa nchi na wanainchi waliowachagua kuwakilisha

    sio bongo ubabe-ubabe tu na kutishiwa ma mafia,,,nyambaf

    ila siku ipo bunge la dodoma pale patakua hapatoshi,yani unakata mtu kibao unarudi kitini pako unaendelea kutetea hoja ya AKILI,mf yule aliyetanga mjadala wa richmondi ndo angevurumishiwa mayai-viza na vyumba vya maji

    lool yani niliwapenda sana ili bunge,mngechek CNN awa ndo wanaume wa kuolewa nao!!adi raha

    yani adi mwaka 2042?bila wabunge wengine kujua?

    ReplyDelete
  11. Mhh! Testosterone za kiume hizo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...