Imetimia miaka Miwili leo tangu Mwenyezi Mungu alipo amua kukuita. Haupo nasi kimwili lakini daima u mioyoni mwetu. Endelea kupumzika kwa amani hadi tutakapokutana tena Amen.
Unakumbukwa daima na mke wako Elizabeth Anthony Njeje, Watoto wako Aninziye Njeje,
Luseshelo Njeje na Fredy Njeje. Pia wajukuu zako Anthony na Alvin Shikunzi, na wengine wote. Pia Wakwe zako ndugu jamaa na marafiki kwa pamoja sote
tunakukumbuka
REST IN PEACE DADY.
AMEN.
TUTAKUKUMBUKA DAIMA MZEE NJEJE,UMEACHA PENGO KUBWA SANA NA SI RAHISI KUZIBIKA KATIKA FAMILIA,UPENDO NA UCHESHI WAKO BINAFSI NAVIKUMBUKA SANA,TULIKUPENDA LAKINI MUNGU AMEKUPENDA ZAIDI UPUMZIKE MAHALI PEMA PEPONI.AMINA. Msaada;Nimepoteza mawasiliano na Aninziye toka nimekuja masomoni mimi Willey(Beatrice) mwakatobe2001@yahoo.co.uk
ReplyDeleteBirmingham.UK
R.I.P Njeje..NMB bado tunakukumbuka sana kwa uchapakazi wakona ucheshi wako!Mungu alikupenda zaidi.
ReplyDeleteLuseshelo au Anthony tafadhari naomba tuwasiliane email yangu ni mwakatobe2001@yahoo.co.uk
ReplyDeleteWilley,
Birmingham, UK