Habari Kaka Michuzi.
Nilikuwa naomba kama mtu yeyote anayo au anajua sehemu ambayo ninaweza kupata CD inayoonyesha culture za watanzania kama music, ngoma na mambo ya tourism Tanzania. Kama unaweza kunipatia nitashukuru sana.
Nilikuwa naomba kama mtu yeyote anayo au anajua sehemu ambayo ninaweza kupata CD inayoonyesha culture za watanzania kama music, ngoma na mambo ya tourism Tanzania. Kama unaweza kunipatia nitashukuru sana.
Ninataka kuonyesha hapa kwaajili ya kuweza kukuza na kuonyesha utamaduni wetu. Nikipata majibu upesi nitashukuru zaidi kwani muda umebaki kidogo.Sasa nafikiri majirani zetu wataonyesha vitu vya kwao basi nasisi tusiwe mbali.
Natanguliza shukurani.
Wasiliana na mimi kwenye email ifuatayo:
Kimandolu@hotmail.com.
Mdau California
Mdau California
Nimefurahishwa sana na huyu bwana anayeipenda nchi yake na utamaduni wake.Hili limenigusa ni vema nikamjulisha huyu bwana kuwa aende makumbusho pale njiani kuelekea mwenge atapata kila kitu cha kila kabila ngoma, nyimbo, mavazi, nyumba, unyago na jando vyakula nk,ukihitaji msaada zaidi tutakusaidia
ReplyDeleteMama Bishanga
Washington
DC