
Watanzania wote muishio Italia mnakaribisha kujumuika na kusherekea siku hii muhimu kwa taifa letu. Ukumbi utafunguliwa kuanzia saa nane na nusu na sherehe kuanza rasmi saa tisa kamili. Tunaomba tujitaidi kufika mapema ili sherehe iende kama ilivyopangwa.kwa maelezo zaidi mnaweza kutuandikia e-mail
watanzaniaroma@yahoo.com,
simu 0039-3479094800
au mnaweza kutembelea blog yetu hapa
www.watanzania-roma.blogspot.com.
Wote mnakaribishwa.
Andrew Chole Mhella
Katibu Wa Jumuiya ya Watanzania Roma
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...