Uongozi wa muda wa Jumuiya ya watanzania London unawaomba watanzania wote waishio London kuhudhuria mkutano wa wana-London utakaofanyika ubalozini siku ya jumamosi tarehe 24-April-10 kuanzia saa 5 asubuhi. Mkutano huu unategemea kuongelea maswala ya chaguzi wa viongozi wapya na muundo mzima wa jumiya ya London.
Uchaguzi wa viongozi wa London unategemewa kufanyika tarehe 01-May-10. Mawazo yako ni mchango mkubwa kwa jumuiya na kama unazo sifa za uongozi na ari ya kuendeleza jumuiya mlango uko wazi kwa kila mmoja.
Mahali: TANZANIA HIGH COMMISSION,
Uchaguzi wa viongozi wa London unategemewa kufanyika tarehe 01-May-10. Mawazo yako ni mchango mkubwa kwa jumuiya na kama unazo sifa za uongozi na ari ya kuendeleza jumuiya mlango uko wazi kwa kila mmoja.
Mahali: TANZANIA HIGH COMMISSION,
3 Stratford Place W1C 1AS,
London.
Tel: +44 (0) 207 569 1470
Muda: kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 10 jioni.
Tunategemea ushirikiano wako wa dhati.
G. Mboya – TA Director of Communication
Muda: kuanzia saa 5 asubuhi hadi saa 10 jioni.
Tunategemea ushirikiano wako wa dhati.
G. Mboya – TA Director of Communication
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...