Picha cha Aron Msigwa -MAELEZO
Home
Unlabelled
VIONGOZI WA TZ NA MSUMBIJI WAKAGUA MAANDALIZI YA UZINDUZI WA DARAJA LA UMOJA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wachumi naomba mnisaidie, Hivi hilo daraja lina any postive impact kwenye economy ? Ama ndo mambo ya kisiasa tu
ReplyDeleteThis is what we should be doing. Building bridges and forging alliances.
ReplyDeletelabda pica hapa zinadanganya, kwa hivyo tuelezeni mliona kwa macho hivi hilo daraja lina lanes ngapi? mbona naona kama ni lane mbili tu?
ReplyDeletenyie watu wa kaskazini na kwingineko acheni hizo dalaja kujengwa kusini kufungua border na nchi za kusini mshaona nogwa hampendi wezenu tuendelee siku si nyingi mambo yetu yatakuwa poa kuanzia barabara,umeme,elimu nk kusini hoyeeee
ReplyDeleteby chingas in doha
Anno wa Fri Apr 23, 11:31:00 AM,
ReplyDeleteHilo daraja ni 2 lanes. Nafikiri ni kutokana na funds na studies.
Newburgh–Beacon Bridge ilifunguliwa November 2, 1963 as a two-lane (one in each direction) bridge, although original plans called for a four-lane bridge, funding difficulties resulted in the reduction in lanes.
Capacity ilipokuwa ndogo decision was taken by authorities to add a second parallel span south of the original.
we michuzi kwa kubana meseji haujambo hivi huwa unajisikiaje?? angalia usije ukabana na hizo nanihii zako hapo chini ya kitovu!
ReplyDeleteUmoja Bridge lina faida sana za kiuchumi na ushirikiano kwa nchi za kusini. Bridge ni part ya Mtwara Corridor project.Wakimalizia kutengeneza barabara ya Somanga-Ndundu na masasi Tunduru mpaka Songea mambo yatakua mwake!
ReplyDelete