Cha kufanya:
Nenda www.tv4africa.com
Jipakulie Player
Install Player kwenye tarakilishi yako
Fungua player
Chagua nchi ya Tanzania, Tizama ITV

Itadumu kwa muda gani?
sifahamu ila kwa kipindi hiki ambacho inapatikana, faidi!

Thx for tip: Monsignor Fabby

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 31 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 12, 2010

    Ni habari njema sana kuweza kuona na kusikiliza habari za nyumbani.
    ila mbona ni kimeo sana.Link inafunguka ya ITV ila mawimbi kibao.Tunaomba wafanyie marekebisho ya connection na bandwidth yake pia

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 12, 2010

    do u have to pay? is it a credible provider, sio mambo ya kuingizana mjini na virus?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 12, 2010

    Tunashukuru kwa taarifa. Nimeipata lakini ni chenga tupu. Labda ikizoea itatulia. Hatahivyo, ni mwanzo mzuri.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 12, 2010

    Mdau Thanks alot,ITV live.ingawa kuna TV nchi moja(niiweke kapuni) jana usiku ilikuwa ikionyesha vitu vya kusisimua tehe tehe
    Mdau Istanbul

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 12, 2010

    Isije ikawa kama mambo ya clouds FM. Ina kwikwi ya ajabu kupita maelezo!

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 12, 2010

    Ahsante kwa taarifa hii njema...Ni fanikiwa kuipakuwa lakini haionikani wala kusikika vema. (picha ni mauza mauza tu na sauti ni kwikwi) sijui wenzangu wengine mme expirience nini?

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 12, 2010

    Hii channel iko down mbaya! Pia watai-lock very soon! Nothing is for free!!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 12, 2010

    Asante kwa hii link lakini naulizia hii kitu ni live? Nilitaka kuchip in kwa kutumia paypal lakini nimejaribu zote hizo za free naona itv inasema no signal..sijui ruanda hamna kinachoonekana.naogopa nisije nikaliwa hela yangu bila kuona kitu...kuna mtu ameona itv

    ReplyDelete
  9. Du Mkuu huku maeneo ya Korea hatuoni kitu zaid ya neno no signal, hahahaha

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 12, 2010

    ukweli ni kwamba hii kitu ni free, na hii player ina stream kutoka kwenye satellite inayorusha matangazo ya ITV Daima. Hiyo satellite iko down mawimbi yake ndio maana unaona ITV haikamatiki kwa uzuri zaidi.
    ila kwa mdau wa mwanzo hapo unaelewa kinachoendelea. wanahitaji kuongeza bandwidth tuweze kuona live .

    Mdau No 5 .

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 12, 2010

    ni maendeleo ingawa mchele mwingi sana.

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 12, 2010

    Asante kwa kutuwezesha sisi wadau

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 12, 2010

    Asante kwa kutusaidia wadau wenu tuweze kufaidi

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 12, 2010

    Mashallah for Trial ITV iwe muongozo kwa stesheni zingine kama TVT,TVZ ,Radion ststion na kama walivyotangulia wengine waongeze Bandwith

    ReplyDelete
  15. PETER NALITOLELAMay 12, 2010

    AUNCLE MICHUZI I AM BEGGING YOU TO TELL HIMSELF THAT THE WEBSITES ARE NOT COLLECTIVELY WERKING I HAVE UPLOARD THE PLAYER BUT IT IS NEVER RECOGNISE MY WEB HOWEVER IT IS THE GAME OF CHOICE, I DON`T THINKING THIS ARE GONNA WORKING PROPERLY. I AM VERY FUN FOR IPPMEDIA AND HER MAGAZINE SO LETING ALL OF PEOPLE FUNS OF DALLAS BIG TIME SELEBRATE HOW WE COME TOGETHERNESS.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 12, 2010

    Duh Hapa uchinani kitu live kabisa hakuna chenga wala kidogo, so inaonyesha kabisa.


    Ila nyingine zoote mpaka ulipie duh.

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 12, 2010

    heee mimi ndo nimejaribu kudownload inaniambia it may harm my computer mhhhh! bora ningoje michuzi apost habari za muhimu kuliko kuharibu comps yangu

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 12, 2010

    OYA JANA NIMEONA LEO MBONA HATA WEBSITE YENYEWE HAIPATIKANI KAMA KUNA KWENGINE MSAADA BASI.

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 12, 2010

    nashukuru sana naipata clear ila sauti kidogo ina mikwaruzo.Nikiipata na star tz najilipua

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 12, 2010

    ebwana kitu kipo clea kinoma hamna hata chenga

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 12, 2010

    Jana ilikuwa na chenga, kwa sababu ya satellite. Lakini leo nimeingia iko clear, kabisa. Hila nahisi watailock hawa jamaa hakuna kitu cha bure siku hizi.

    Mdau USA.

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 12, 2010

    naona tena rahiiiiiiii rahiiiiiiiii kwa raha zangu Babu Puwa Mengi usije kutubania tu. Nasubiri Taharifa ya Habari Tuone wadau wangapi wamefungiwa maoni yao hahaha. Mzamiaji Ugiriki (Baharia) Juma.

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 12, 2010

    Shukrani kwa mdau maana inaonekana vizuri sana, na leo hii nimesikiliza taarifa ya habari..Mungu akupe nini zaidi?

    ReplyDelete
  24. AnonymousMay 12, 2010

    Hata mimi yangu ipo clear sanaaaa. Thanx

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 12, 2010

    Asante yeah iko clear leo...
    USA

    ReplyDelete
  26. AnonymousMay 12, 2010

    Hapa Italy yaani kitu na Box!!!!!!!!!!! ni raha kwa kwenda mbele! sasa mipira ya simba na yanga sitakosa!!

    ReplyDelete
  27. AnonymousMay 13, 2010

    sasa mimi hapa Dublin napata sauti very clear, hamna mchele,pumba wala chenga, ila screen ni dark, sioni movement yoyote,ningepata hata chenga ningefurahi kweli

    ReplyDelete
  28. AnonymousMay 13, 2010

    Hapa Canada siioni wala hainioni, inakuwaje technician???

    ReplyDelete
  29. KishindaMay 13, 2010

    Jamani apa Kansas kitu na box thanks ITV kwa kutupa habari za nyumbani, pls msifunge pls
    Thanks Michuzi for good nyuzi

    ReplyDelete
  30. Kitu na BOX!!

    ReplyDelete
  31. kwangu ina taka pasword me sijajua niweke ipi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...