Hei Michuzi!!
Leo tar 27.05.2010 ni siku ya kuzaliwa mtoto Jeremiah Martin. Ametimiza miaka 11. Mimi Anti yake namuombea kwa mwenyenzi mungu ampe uwezo wa kufanya vizuri ktk masomo yake na apunguze michezo....Pia namuombea maisha marefu na afya njema..
Hapo pichani ni mtoto jeremiah
na dada yake Kazumi Nkansami.
Wako Anti Lillian Norway

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2010

    Happy B'day

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 27, 2010

    HAPPY BIRTHDAY JEREMIAH!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2010

    jamani kweli kiswahili kigumu happy birthday ya kuzaliwa kwani kuna happy birthday ya kufa?duh kazi kwelikweli.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 27, 2010

    Happy birthday Jerremiah au kama tulivyomzoea Bujii. Nimefurahi sana umetimiza miaka 11. Naamini pia bado unaendelea kufanya vizuri katika masomo yako kwa shule yako mpya uliyohamia baada ya kuhama mazazi ya awali. Aunt Lily nakukumbuka pia, I saw you once kwa dadayo mama Bujii wakati unajiandaa kuuhamia Norway with your hubby. Hope life is well there!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 27, 2010

    we anon hapo juu kwani si umeelewa!!kama umechoka beba box hiyo ni shauri yako!!!mie mchagga kiswahili sijui....

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...