Ankal!
Hii ilikuwa leo asubuhi maeneo ya Africana dereva wa iyo gari alikuwa anazifuata bajaji pembeni ya balabala na kuzigonga makusudi uku mvua ikiendelea kunyesha na maji yamejaa balabalani. sijui alikuwa na malengo gani. mwisho wa siku madereva wa bajaji waliamua kuondoka eneo la tukio na kumuacha jamaa na gari lake.
Mdau wa Mbezi Beach

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 06, 2010

    Sema barabara na sio balabala. We vipi umekatika kimeo nini?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2010

    balabalani? duh ok nimekuelewa si unatokea bala wewe?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 06, 2010

    NI BARABARA NA SI BALABALA HATA HIVYO SI WEWE TU WALA SI KOSA LAKO, BONGO SHULE MBOVU.

    ReplyDelete
  4. Kifimbo ChezaMay 06, 2010

    Mdau kama umeweza kuandika GARI vizuri, kwanini umeshindwa kuandika barabara? najiuliza..!!

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 06, 2010

    Nafikiri mmemwelewa vizuri mdau aliyetoa picha hii.
    Hapo mahala bajaj na pikipiki wanafujo sana ikiwa ni pamoja na pale Makonde Shamo.
    Wacha wapate jeuri vile vile maana bajaj na pikipiki wanaziba barabara utafikiri zimejengwa kwa ajili yao.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 06, 2010

    naona wadau issue meipita mebaki kushikilia tu neno "balabala" neno balabala haikua hoja ya mwandishi....

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 06, 2010

    Mdau malizia vizuri habari, kusema tu alikuwa kivigonga kwa makusudi vibajaji uja tusaidia. ungetupa sababu ya yeye kufanya hivyo ili tuweze kujua kilichotokea.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 06, 2010

    Duh! haki ya nani yaani nimecheka leo na hizo comments zenu. Eti amekatika kimeo!

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 07, 2010

    sina mbavu

    ReplyDelete
  10. Mmh, wabongo bwana! mmeamua kukomaa na neno moja tu, balabala, kwani hamjamuelewa? Kama nyie mnajua Kiswahili mlipata 100% darasa la saba japo ni lugha yetu ya Taifa sisi watanzania? Acheni hizo jamani!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...