Marehemu Yusuf Mohamed Abilahi 'Njiti' akiwa na
mwanae enzi za uhai wake

Familia ya Abdelle Abilahi anawataarifu kisomo cha mdogo wake mpenzi marehemu Yusuf Mohammed Abilahi(kwa jina maarufu NJITI)siku ya jumamosi May 22 2010 saa 9(3:00pm) kisomo kitafanyika Langley Park
address

1401 University Blvd,
Hyattsville,
MD,
20783
Wengi tulimpenda Njiti,alikua mcheshi na mtu wa watu,lakini leo Mwenyezi Mungu amempenda zaidi, Mungu iweke roho ya marehemu Njiti pema peponi, Amina.

Who trusts in God lacks nothing,
Kiswahili mwamini mungu si mtovu,

Love is like a cough it cannot be hidden
kwa Kiswahili Mapenzi ni kikohozi, hayawazi kufichika
Every bird flies with its own wings,
Kwa kiswahili kila ndege huruka kwa bawa lake


Where there is a formal mourning, has died a person
Kwa Kiswahili kufa kwa mdomo, ale hutawanyika kunako matanga kumekufa mtu.
The blood of this man shall not go in vain. A wonderful husband and loving father will not go in vain and justice will be served.
Njiti NAKU PENDEA
YOUR LOVING WIFE.......
kwa maelezo na maelekezo
Rashid Mkakile 301 675 8383
Abby Mtulia 240 595 9449
Amran Kilemile 202 680 2388

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 20, 2010

    RIP mdogo wangu Njiti,kifo chako kimenigusa saana,kwani ninakumbuka mwaka 1997 ulivyoingia NY ulikua na mdogo wangu Martin,tulikua tunawasiliana mara kwa mara,nilipopata taarifa za kifo chako nilishtuka sana, poleni wafiwa,pia natoa pole kwa mdogo wangu Martin OHIO, na mdogo wangu Rama NEW JERSEY,Hao ndio walikua wanapambana na life pamoja na marehem mjini NY, Mungu alitoa na sasa ametwaa. Mdau London.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 20, 2010

    so sad jamani.kafanana sana na mwanae.R.I.P Njiti!

    ReplyDelete
  3. Warap MuddyMay 20, 2010

    Pole sana Abdelle kwa kuondokewa na Mdogo wako njiti.
    Innah Lillahi Wainnah Ilayhi Rajji`un.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 20, 2010

    What a loss! Pole sana mama watoto na the little princess kwani hakuna kama mzazi my dear. It is a pain to loose a parent at that young age. Inshaallah tunawaombea kwa mwenyezi mungu awape tahfif katika wakati huu mgumu na mwenyezi mungu amlaze kaka yetu Njiti mahala pema peponi. AMINA

    ReplyDelete
  5. Maisha maisha maishaa...Its so sad, Njiti na Abdelle my younghood friends.Nakumbuka tukicheza mpira wote Jengo la umoja wa vijana, one of those sweetest days of life(utotoni0, leo kuona photo Njiti ametuacha! Mungu amlaze mahali Pema peponi. Amina.Pole kwa familia na ndugu wa Marehemu Njiti. Mungu alitoa na ametwaa. Jina lake libarikiwe. Goddy - london UK

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 21, 2010

    kwa wanafamilia wake poleni sana. Eddy.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 21, 2010

    Mwenyezi Mungu amuweke Njiti pahali pema peponi, amin. Delle stay strong, inasikitisha sana. Tidosela, Philadelphia

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 21, 2010

    Mdogo wangu kifo chako kimtusikitika watu wa washington dc .ulikuwa mtu wapendo ujali mkubwa wala mdogo ,mungu akulaze mahali pema peponi

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 21, 2010

    R.I.P Njiti we are all on the same road, you just start and we are follow.


    Mjusi,London

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 23, 2010

    Inshaalah Almighty Allah grants him forgiveness and Al Jannah...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...