HAYATI Mrs.JOYCE.G.KOLOWA

Mama yetu mpendwa,leo terehe 9.5.2010 ni miaka 11 toka ututoke.Pengo uliloliacha ni kubwa sana.Uchangamfu wako, ucheshi,uletaji amani, mshikamano na upendo katika familia utakumbukwa nasi wakati wote.Unakumbukwa na kukoswa sana na mumeo,wanao,wakwe zako,wajukuu,ndugu zako na marafiki.

Mwenyezi Mungu ailaze roho yako mahala pema peponi.
Amen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 10, 2010

    wadau mnapotuma picha za wapendwa wenu humu ndani kwa nini hamtoi comment kuwaombea heri? sasa mnazituma za nini humu?? hata we mumaji oyo tuu msihujazie kurasa michuzi sometime wabanie hii halinayo imezidi blogu hii siyo ya misiba ndiyo wote tutakufa ndio wote tuwekwe kwenye blogu! michu tangaza misba hizi kumbukumbu usiweke

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...