TANGAZO MAALUM KWA WAKAZI WA WA UGHAIBUNI
KUTOKA URBAN PULSE NA BUZZIE PRODUCTION
Mashabiki na Wapenzi wa filamu wa Kitanzania tunapenda kuwataarifu kuwa tumepokea malalamiko yenu kuhusu ubora DVD za filamu ya £ovely Gamble. Kwamba zina giza na sauti si bora na picha zinacheza. Hili tumelichunguza na kugundua ya kuwa linasababishwa na DVD HARAMIA (PIRATE COPIES) zinazouzwa kinyume ya sheria.
Tunaelewa tatizo hili ni sugu dunia nzima na linawanyima thamani ya utamu wa filamu. Vilevile lina changia kudumisha kiwanda cha uzallishaji wa filamu. Kuepukana na adha hii ,Wazalishaji wa £ovely Gamble wanawaomba na kuwashauri kununua filamu hii kutoka kwa DVD za halali zitakazopatikana kuanzia Jumamosi ya tarehe 29-10-2010 kwenye uzinduzi maaluma wa kuchangia yatima wanao ishi na vijirusi wa UKIMWI nyumbani TANZANIA na kwa wakala maalumu watakao tangazwa rasmi siku hiyo.
KUTOKA URBAN PULSE NA BUZZIE PRODUCTION
Mashabiki na Wapenzi wa filamu wa Kitanzania tunapenda kuwataarifu kuwa tumepokea malalamiko yenu kuhusu ubora DVD za filamu ya £ovely Gamble. Kwamba zina giza na sauti si bora na picha zinacheza. Hili tumelichunguza na kugundua ya kuwa linasababishwa na DVD HARAMIA (PIRATE COPIES) zinazouzwa kinyume ya sheria.
Tunaelewa tatizo hili ni sugu dunia nzima na linawanyima thamani ya utamu wa filamu. Vilevile lina changia kudumisha kiwanda cha uzallishaji wa filamu. Kuepukana na adha hii ,Wazalishaji wa £ovely Gamble wanawaomba na kuwashauri kununua filamu hii kutoka kwa DVD za halali zitakazopatikana kuanzia Jumamosi ya tarehe 29-10-2010 kwenye uzinduzi maaluma wa kuchangia yatima wanao ishi na vijirusi wa UKIMWI nyumbani TANZANIA na kwa wakala maalumu watakao tangazwa rasmi siku hiyo.
WYCLIFFE VENUE
233 KINGS ROAD READING
RG1 4LS.
6.30pm-11.30pm
TCKT IN ADVCE £10 FOR VIP’s SEATS AND £5 FOR STANDARD SEATS.
(*VIP TCK HOLDERS GETS FREE AFTER PARTY PASS*)
WOTE MNAKARIBISHWA
TCKT IN ADVCE £10 FOR VIP’s SEATS AND £5 FOR STANDARD SEATS.
(*VIP TCK HOLDERS GETS FREE AFTER PARTY PASS*)
WOTE MNAKARIBISHWA
inachangia KUDUMISHA au KUDUMAA?? kweli kiswahili kigumu au mimi ndio sijui kiswahili.nijuavyo kudumisha inatokana na neno KUDUMU
ReplyDeletehe mnaizindua mara ngapi? manake utafikiri ndio sinema ya kwanza duniani hadi mnaboa halafu ati hadi mwezi wa kumi tena mwishoni ndio mnaachia kazi ndio maana wajanja wanawahi ukishazindua kitu achia kazi mnazindua miaka mingapi? kila siku lovely gamble .. lovely gamble! uzeni kazi kabla haijaeksipaya. michuzi bin misupu hii meseji usiibane
ReplyDeleteFRANK,ushauri wa bure,punguza kuongea na kuuza sura,fanya mambo, mmechelewesha movie kila siku promo hadi watu wamekopi,hadi leo hamjazindua,mnaboa sana,sijaona movie yenu ila walioiona wanasema HAMNA JIPYA,fanyeni kazi muda bado mnao,uwezo naamini mnao,ongezeni bidii mwanzo mgumu i hope mtajifunza zaidi.
ReplyDelete