JK akiwa katika picha ya pamoja na Wah. Majaji wa Afrika Mashariki baada ya kufungua mkutano wao jana hoteli ya Ngurdoto jijini A-Taun
Jaji Mkuu wa Tanzania Mh. Augustine Ramadhani akiwa na mdau Emmanuel Mamuya aliyekuwa refa wa mpambano wa soka kati ya Wah. Majaji wa Kenya na Tanzania kwenye uwanja wa Ngurdoto baada ya mkutano. Mdau Mamuya ni meneja wa IT na mikutano hapo hotelini. Mh Jaji mkuu ni mpenzi sana wa michezo. Yeye ni mlezi wa chama cha Basketball nchini na enzi zake aliwahi kucheza sana mchezo huu hadi timu ya taifa
Mh. Jaji Bernard Luanda wa Tanzania akipiga free kick wakati wa gemu dhidi ya Kenya. Ikumbukwe Mh. Luanda keshapigia Taifa Staras na Simba akiwa kiungo hodari sana. Hadi leo yuko fiti ila basi tu majukumu yamemtinga. Katika mchezo huu Tanzania ilishinda 3-0

Gemu linaendelea, ila timu zote zilikuwa zimevaa jezi rangi moja na mshabiki aliye pembeni anajaribu kujaji nani ni wa timu gani hapo. wenyewe walielewana bila shida
Harambee Judges Stars
Taifa Judges stars











Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 23, 2010

    Wooow! Is that Lord Justice with a white cap, Judge nanihii? Long time no see!

    Hongereni kwa kuifunga Lords Justice Harambee Stars.

    Lords Justice wa Taifa Stars waiongozwa na P. D. G wao the Chief Justice mpo Juuu!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 23, 2010

    Lords Justices, sorry, na siyo Lords Justice.

    Na ni wakiongozwa, na si waiongozwa.

    Mpo juu.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 23, 2010

    kwakuwa ni majaji basi walifata sheria zaidi. hawakuhitaji referee.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 23, 2010

    mbona wote wamevaa jezi zinazofanana

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 23, 2010

    Lakini, mbona jezi zinafanana, Lords Justices wa Kenya si watapata sababu ya kulalamikia ushindi???

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 24, 2010

    Nasikia ma-jaji wa Harambe Star (Star)hawakuridhishwa na Ushindi wa Ma-jaji wa Taifa Star (Tanzania), wanadai eti refa amewapendelea taifa Star, hivyo wa lodge appeal kwenye East African Court..hata sijui hukumu itakuwaje!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 24, 2010

    Hayo matumbo yanaeleza kila kitu!!

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 24, 2010

    Mdau Imma vp?? za masiku?? Mbona Globu yako siku nyingi haijawa updated???

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 24, 2010

    worry not kaka nimekupata nita uptade siku si nyingi mambo ni mengi tu si unajua maisha mapambano?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...