Mwalimu Mkuu wa Shule ya Secondary Kilimangwido wilayani Pangani, Othman Mzirai akipokea sehemu ya msaada wa vitabu vya secondari kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mahusiano benki ya NMB, Shy-Rose Bhanji ikiwa ni msaada toka benki kwa ajili ya kusaidia shule hiyo iliyokuwa na uhaba wa vitabu. Kulia ni Meneja wa NMB tawi la Pangani, Elisa Elikunda. Makabidhiano yalifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Secondary Kilimangwido wilayani Pangani, Othman Mzirai akipokea sehemu ya msaada wa vitabu vya secondari kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mahusiano benki ya NMB, Shy-Rose Bhanji ikiwa ni msaada toka benki kwa ajili ya kusaidia shule hiyo iliyokuwa na uhaba wa vitabu. Kulia ni Meneja wa NMB tawi la Pangani, Elisa Elikunda. Makabidhiano yalifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki.

Shyrose will you marry me please?
ReplyDeletekuleni kuku mayai mboga samaki maziwa. Tujali afya zetu jamani tusifuge vitambi
ReplyDelete