Mwalimu Mkuu wa Shule ya Secondary Kilimangwido wilayani Pangani, Othman Mzirai akipokea sehemu ya msaada wa vitabu vya secondari kutoka kwa Mkuu wa kitengo cha Mahusiano benki ya NMB, Shy-Rose Bhanji ikiwa ni msaada toka benki kwa ajili ya kusaidia shule hiyo iliyokuwa na uhaba wa vitabu. Kulia ni Meneja wa NMB tawi la Pangani, Elisa Elikunda. Makabidhiano yalifanyika shuleni hapo mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kiyungi FundikiraMay 10, 2010

    Shyrose will you marry me please?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 10, 2010

    kuleni kuku mayai mboga samaki maziwa. Tujali afya zetu jamani tusifuge vitambi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...