Waziri wa Maji na Umwagiliaji nchini Prof. Mark Mwandosya (kulia) leo jijini ametoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu ushirikiano wa nchi za Bonde la Mto Nile.ambapo amelezea lengo lake ni ukusanyaji wa Takwimu za mizania ya rasilimali za maji katika eneo la nchi za maziwa makuu., nchi kumi zinajumuisha BONDE la Mto Nile ni Burundi,Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo,Egypt, Eritrea, Ethiopia,Kenya, Rwanda, Sudan,Tanzania na Uganda. Picha na mwanakombo Jumaa- MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 17, 2010

    Waarabu wasifanye rasilimali zilizotolewa na mwenyezi Mungu kuwa ni mali yao pekee na wengine wasizitumie wakati chanzo cha maji haya kiko katika ardhi zetu.
    Waziri komaa nao hivyo hivyo.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 18, 2010

    kutolea macho hayo maji ya ziwa Victoria wakati kila mwaka tuna acha maji kiasi gani yanakwenda baharini wakati tungejenga sehemu za kuhifadhia maji ili kukidhi haja nyakati kame kuzalisha samaki na mengineyo.such a fool.angalia project ya Ghadafi jangwani? sisi tuko nyuma na tutaendelea kuwa nyuma

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 18, 2010

    Waarabu hapo mnatafuta kilio......tumpe mradi wa umwagiliaji Israel na tuone.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...