Kwa hii na video zingine kibao

BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2010

    Mtowa habari una lengo la kutowa haja nzuri, lakini ni kwa nini hukujitayarisha vyema na kujuwa utakachosema kabla ya kuanza kuripoti?

    ingelikuwa ripoti nzuri kama ingelikuwa na prepation badala ya kutafuta maneno ya kusema live.

    ni hayo tu kwa sasa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 02, 2010

    At least basi unge edit sound...watangazaji na waandishi wa bongo sidhani kama wanatumia script...wenzenu wanasoma mambo yote wanayoyasema wasije wakasema nenoo wasilokusudia au kutoka moyoni mwao wakawa sued....

    Andikeni chini mnachotaka kukitoa hewani

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 02, 2010

    Habari Michuzi, kwanza ningependa kusema hongera kwa kuweka hii video.Kwa kweli hali kamaa hii inasikitisha sana kuona sehemu kama hii ikiachwa bila matengenezo, na pia wananchi wakikatazwa kwenda kujipumzisha na kupunga upepo.Nailaumu halmashauri ya jiji kukosa kutenga bustani maalumu na maeneo ya watoto kucheza.Wananchi kodi wanalipa lakani maendeleo hatuyaoni.Maendeleo ya kweli si majumba machache marefu jijini na simu za mkononi,la asha maendeleo ya kweli ni huduma bora za jamii, maji safi, barabara bora na umeme.Watanzania bado tuna safari ndefu kwa kweli!

    Mdau,

    Columbus Ohio.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 03, 2010

    Michuzi wewe unazengumzia sehemu ya kupumzika wakati wodi ya kina mama hapo Temeke na Amana haina vitanda.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...