Wagombea nafasi ya Uenyekiti katika klabu ya Simba,Hassan Hassanoo (kulia) na Ismail Aden Rage wakipiga kura leo.
Wagombea nafasi ya Uenyekiti katika klabu ya Simba,Hassan Hassanoo (kushoto) akiteta jambo na mgombea mwenzake katika nafasi hiyo,Ismail Aden RageWadau na wapenzi wa Klabu ya Simba wakipiga kura ya kuchagua viongozi wapya leo

Askari Polisi wakihakikisha usalama wa kutosha katika uchaguzi unaoendelea kufanyika katika Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbey.

Mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti katika Klabu ya Simba,Godfrey Nyange (kulia) akisalimiana na mmoja wa wadau wa klabu hiyo

Wamnafunzi wa shule ya sekondari vituka wakisimamia masanduku ya kupiga kura

Ibrahimu Masoud 'Maestor' akiongea katika uchaguzi huo

Boniface Wambura akimwaga sera zake karika uchaguzi wa viongozi wapya wa klabu ya simba unaendelea kufanyika hivi sasa katika bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay maeneo ya masaki huku ulinzi ukiwa mkali kuhakikisha hali ya usalama inakuwepo.

Wadau wakiwa katika foleni ya kuhakiki kadi zao

Wadau wakifuatilia uchaguzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. HUYO JAMAA MKONO WA KULIA CHINI MWISHO ANATAKA KUNI MEZA MICHUZI!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 10, 2010

    Ni karibu Yanga iwape somo jipya Simba, maana zao ni kuiga. Kampeni za uchaguzi zitakuwa kwenye vyombo vya habari na kura zitapigwa na wanachama nchi nzima kwa utaratibu maalum. Mpo hapo? Najua mnaona nyota nyota, subirini kidogo muone halafu muige.

    Chances are many Mithupu ataibania na hii, ila ni haki yake (glob ni yake ati).

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 11, 2010

    Sasa tuanze3 kazi ya kulisaka kombe la klabu bingwa afrika naamin yawezekana kama tukiwa na nia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...