Katibu mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo Mh. Seith Kamuhanda akiongea na wahariri wa vyombo vya habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es salaam. Pamoja na mambo mengine ametoa changamoto kwa wahariri wawe chachu katika kuleta mabadiliko na kuhakikisha kuwa habari zinazotolewa zilenge katika kuchochea maendeleo nchini.
Juu na chini ni Wahariri wa vyombo vya habari wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo Bw. Seith Kamuhanda wakati alipokutana nao leo Picha na Aron Msigwa - MAELEZO.
Juu na chini ni Wahariri wa vyombo vya habari wakifuatilia kwa makini hotuba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Habari,Utamaduni na Michezo Bw. Seith Kamuhanda wakati alipokutana nao leo Picha na Aron Msigwa - MAELEZO.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...