Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Bw David Kitundu Jairo (katikati) akizungumza na wananchi waliofika katika banda la wizara, katika maonesho ya wiki ya utumishi wa umma, yanayofanyika katika viwanja vya CCM kirumba, Mwanza. Bw. Jairo akihojiwa na Waandishi wa Vyombo mbalimbali vya Habari
Mvunja mbavu maarufu Saidi wa Ngamba a.k.a Mzee Small ni mmoja wa wateja waliotembelea Banda la Wizara ya Nishati na Madini. Hapa akizungumza na baadhi ya Maafisa wa Wizara.
Kamishna Msaidizi wa Madini, Mhandisi Fred Mahobe akitoa maelezo kwa Waandishi wa Habari.
Mtaalamu wa Nishati, Bw Habbas Ng’ulilapi, akiwahudumia wateja waliofika katika Banda la Wizara
Baadhi ya Maafisa wa Wizara ya Nishati na Madini wakiwa katika Banda la Wizara katika maonesho hayo.






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...