Keki ambayo ndugu, jamaa na marafiki wa Da'Mwamvita waliandaa katika mnuso wa kustukiza (suprise party) wa hepi besdei ya kuzaliwa kwake usiku wa kuamkia leo hoteli ya Kempinski Kilimanjaro jijini Dar.
Da'Mwamvita akikata keki yake
Champeni ililipuka katika mnuso huo ambao yeye mwenyewe Da'Mwamvita hakuujua hadi alipojumuika na ndugu, jamaa na marafiki waliomuandalia levo 8 hoteli ya Kempinski
Da'Mwamvita akiwa na baadhi ya marafiki waliomuandalie mnuso wa kustukiza
Da'Mwamvita akiwa na marafiki kwenye mnuso wa kustukiza waliomuandalia

Cool and congraturation. Ila nguo ya rangi nyeusi kwenye birthday yako, what does this imply? Thought you could wear a color with special and appropriate meaning and messeage, right?
ReplyDeleteHe he heeeeeeeeeeeeee, haaaaloooooooo oooo. hepi besidei njema. mtoto mashalaa.
ReplyDeleteJamani huyu dada nampendaga! Halafu kafanana sana n Michelle. You rock girl!
ReplyDeleteDadako, Norway
Hivi huyu dada kaolewa, me nataka nipeleke posa kwa Mzee Makamba..lol
ReplyDeleteDaaaa Mwavita una mchumba? Mimi natafuta mchumba, nipigie basi 999 au 911
ReplyDeleteSijamwona QG kwenye picha kwa nini mama?
ReplyDeleteMama Kitumbo a.k.a. Mama Uturn au Mzungu, mbona simwoni?? Maana shughuli kama hizi hasa Kempiski never miss.
ReplyDeleteHONGERA MWAMI PIA ASANTE SANA KWA MSAADA WAKO.
ReplyDeleteWe unaemtaka huyo mama kitumbo wako si uende kule kwake ndio utaona hayo mapicha yake hadi uchoke,huku anahusu?
ReplyDelete