Kampeni ya KUHUISHA (ku-renew) majina ya vikoa vya .tz (.tz domain names) LINAENDELEA…..
Pamoja na kuhamasisha usajili wa majina mapya, tzNIC pia inawakumbusha wenye majina ya zamani kuya-renew kabla hayaja-expire.

MAJINA MENGI YATA-EXPIRE MWEZI JULAI 2010. HAKIKI TAARIFA ZA DOMAIN YAKO BOFYA
HAPA-1.

BOFYA HAPA
hapa-2 kwa maelezo zaidi juu ya kampeni hii.
Ada ya ku-renew ni TZS 20,000 TU na maelezo jinsi ya kulipa yanapatikana
BOFYA HAPA hapa-3.

WASILIANA NASI: SIMU -

(022) 2772659 AU E-MAIL –
info@tznic.or.tz
KWA MAELEZO ZAIDI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...