

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
CCM oyee...JK anaanza kuchukua fomu, sisi tujipange kumpa kura za NDIYO kwa wingi.
ReplyDeleteLakini pia tumpatie wabunge waadilifu atengeneze kikosi cha miamvuli kizuri tutekeleze ilani ya chama chetu
Ankal nipo jirani na eneo la tukio mamia ya wanachama wamevalia jezi ya ya chama chao
ReplyDeletemaisha bora kwa kila mtanzania
ReplyDeleteChonde Chonde Mh, kwa asilimia mia, pamoja na mapungufu yaliyopo tunajua utarudi tena, ukirudi tunaomba utubadilishie yule waziri wa madafu maana madafu yanashuka hata siku moja hajawahi kutoa 'press conference'.
ReplyDeleteNkyabo - Bongo
Nimeona maraisi yote waliopita naweza kusema Kikwete ni bogus kulingalisha maraisi waliopita kwani hakuna alichofanya ni maneno matupu hakuna utekelezaji. Amekuwa anawabeba wachache, hakuna maendeleo ya watu, hakuna utawala wa sheria. Watanzania tufungue macho.
ReplyDelete