Mdau mwanaharakati Peter Kazaula (kulia) akikabidhi mashine ya kuchuja maji aliyoitoa kwa hospitali kuu ya mkoa wa Kagera yenye thamani ya zaidi milioni 8 yenye uwezio wa kuchuja lita 6,500 kwa siku ambayo haitumii aina yoyote ya nishati. Anayepokea ni Kaimu Mganga Mfawidhi wa hospitali ya mkoa Dr Amri Byalugaba na kushoto ni mwenyekiti wa bodi ya hospitali ya mkoa Johansen Rutabingwa. Picha na Audax Mutiganzi wa Globu ya Jamii, Bukoba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 29, 2010

    si vibaya kukumbuka nyumbani, well done!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 29, 2010

    Umezidi kumenya comment za watu! hiv we vp???????? kama

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...