Mwenyekiti wa chama cha mpira wa wavu nchini (TAVA)Augustino Israel Agapa akizungumza wakati wa ufunguzi wa mashindano ya klabu bingwa yanayo fanyika mjini Moshi ,Jumla ya timu sita kutoka mikoa mbalimbali zinashiriki mashindano hayo.Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom wakiwa ndio wadhamini wakuu wa mashindano walikuwepokushuhudia ufunguzi,shoto ni meneja mauzo mkoa wa Kilimanjaro Kizumo Kizango na Emanuel Carl ambaye ni mwakilishi mauzo mkoa wa Kilimanjaro,kulia ni katibu wa chama cha mpira wa kikapu mkoa wa Kilimanjaro Alfred Serengia.
Timu shiriki katika mashindano ya klabu bingwa ya mpira wa wavu zikifanya maandamano ya ufunguzi wa mashindano hayo ,maandamano yalianzia ofisi za Vodacom hadi uwanja wa Hindu Mandal.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...