Miss Dar City Centre 2010 Salma Mwakalukwa akipungia mashabiki mkono mara baada ya kutawazwa mshindi katika shindano hilo lililofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Movenpick jijini Dar , kulia ni mshindi wa pili Bahati Chande na kushoto ni Neema Ally, mshindi wa tatu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 07, 2010

    mamiss wa mwaka huu mhhhhhhhhhhhhhhh sijaona kitu, au ile onga onga bado ipo? usibanie ka mich

    ReplyDelete
  2. Hongera kwa washindi,
    Naomba nitoe duku duku langu kuhusu jinsi shughuli nzima ilivyoandaliwa.In short it was highly diorganised.
    Nitashukuru Michuzi kama utaweka hizi comment iliwaandaaji wajue walichemka.
    1.Kuhusu Venue-this was perfect-Movernpick
    2.Kiingilio-fair according to the quality of venue.Ilikuwa optional Tshs. 50,000 or 25,000
    3. Warembo-walikuwa wana mvuto japo wengi wao hawakuweza kutembea kimiss,hii inaashiria walakini katika mafunzo yao
    4.Muda wa kuanza-Almost Saa sita kasoro usiku-that was very annoying ukizingatia onyesho lilipangwa kwa tar 5/6 ila most of the activities zikafanyika tarehe 6/6
    5.MC-alibore kuanzia alivyovaa na jinsi alivyoendesha shughuli,in short hakujiandaa,alivaa kama anaenda ofisini tena ofisi za mtaani,hakuweza kuwa na coordination nzuri na Dj wala kutoa microphone kwa wazungumzaji.
    Mimi na Partner wangu ilibidi tuondoke mapema cause hatukuona maana ya kuendelea kukaa hapo.Zaidi,hatukupata thamani ya pesa tuliyolipa,tulisikia mzee mmoja pembeni yetu akisema huu ni wizi mtupu!
    Next time ni vizuri kuboresha uandaaji wa matukio kama haya.
    Ahsante.

    Muda wa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...