TATU BORA YA MISS EASTERN ZONE. MSHINDI NI FLORA FLORENCE TOKA MOROGORO (KATI) AKIWA NA MSHINDI WA PILI MARY ADAM (SHOTO) KUTOKA LINDI NA KULIA NI MSHINDI WA TATU CECILIA PAUL KUTOKA MOROGORO PIA. SHINDANO HLI LIMEFANYIKA WIKIENDI HII MJINI LINDI KATIKA HOTELI YA OCEAN VIEW
WASHIRIKI WA MISS ESTERN ZONE WAKICHEZA NGOMA YA ASILI


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 28, 2010

    Bado najiuliza, ni Miss ngapi zimebaki? jana Miss REDDS, leo, hii hapa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 29, 2010

    mwenye nyekundu hicho ni kigoda?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 29, 2010

    Halafu wana minofu...hawa maiss nadhani ni wa kwetu hapa hapa...wakeinda kushindana ki mataifa itakua taabu sana..kwanza wafupi na pia wanaminofu kweli...

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 29, 2010

    In a positive note ni kuwa inaengeza ajira nchini. Waliowatengeneza nywele walilipwa, waliopamba hall walilipwa, waliopiga picha walilipwa na waliotengeza hizo nguo walilipwa...na walioingia kuangalia walilipa hela...Ukiona watu wanahela za kudispose kwenye starehe sana ujue uchumi unakua

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 29, 2010

    kama ni kutoa ajira hilo ni jambo zuri kwani watu wanapata burudisho na pesa zinatembea mikononi mwa watu. asante wewe mdau hapo juu kwa kusema hivyo. michuzi usisahau kuwa pia blog yako inaendele.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 29, 2010

    ANKAL HIZI PICHA ZINAFANYA WANAUME WAPANDWE NA NANIHII, DUU!

    ReplyDelete
  7. yaliyomo yamoJune 29, 2010

    anony uliyezungumzia ajira asante.
    naongeza pointi moja - haya mambo yanasaidia sana, wale wenye pesa za ziada wanagawana na wasio nazo, mfano wale wanaolipa viingilio, na wale wadhamini wa mashindano, baadhi ya zile pesa zinaenda kwa mafundi cherehani, watu wa kudeki ukumbini, wahudumu, wauza chipsi na mishikaka, n.k

    long' livu mashindano ya umisi!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...