Msanii wa muziki wa kizazi kipya Nakaaya Sumari akiwatumbuiza watoto wakati wa sikukuu ya mtoto wa afrika katika uwanja wa kumbukumbu za Shiekh Amri Abeid jijini Arusha. Sikukuu hii ni maalumu kwa ajili ya kumbukumbu ya watoto wa kiafrika waliouwawa nchini Sauzi katika kitongoji cha Soweto wakiwa wanapigania haki zao.
Picha msanii Nakaaya akicheza na mtoto jeska shayo kutoka katika shule ya Kaloleni
Nakaaya akicheza na mtoto Baraka Lomayani hizo
ambazo zaidi ya watoto elfu nne walihudhuria



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2010

    ameshapoteza ramani huyo,eti anagombea ubunge wa chadema,keep dreaming.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 20, 2010

    What, ubunge chadema...!!!. Natural dada kwisha kazi sasa....!!.
    Music imekataa itakuwa siasa?!!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 20, 2010

    Nawewe mpaka angesena anagombea CCM ndio unge mweshimu ? pumbavu

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 20, 2010

    acheni hizo nyie, si ameamua ameona ina lipa, bora huyo aliyeamua kugombea ubunge kuliko kufaya ufuska mjini. keep up dada utaweza tu wenyewe waweze wana nini na wewe ushindwe una nini.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 20, 2010

    for sure nyie ma anony hapo juu acheni hizo. badala ya kumpa moyo manake tumechoshwa na CCM nyie mnaponda. aliyesema watanzania tumelogwa hakukosea..go Nakaaya go..wakilisha vijana.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 20, 2010

    JAMANI HUYU DADA UBUNGE ANAPEWA VITI MAALUM BILA KURA MANAKE NCHI YETU JAMANI HAMUIJUI DUKA LAKE LINAMTOA MWANADADA SASA HIVI MTAMSIKIA ANAKULA KILAIIIINI AKIFIKA BUNGENI KAMA MPIRA WA KONA NDIO NCHI YETU HII BADALA YA KUONGOZWA NA WASOMI WANAONGOZWA NA WANASIASA KAZI KWENU WABONGO.

    STIVE

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 20, 2010

    wewe michuzi acha ujinga wa kubania bania watu comment.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 20, 2010

    nyie ndo wajinga,damu changa hiyo alafu mnashabikia kuingia kwenye siasa,vijana wanatakiwa kuwa wabunifu ili kuliondoa hili taifa kwenye ujinga,wewe unadhani vijana wajizana kwenye siasa si ndo tunarudi kurudi nyuma.fungua macho dada

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 20, 2010

    Nyie ndo mmekwisha kazi msiokubali kubadilika na kuendelea kukumbatia mafisadi...! Go mama, tunahitaji kubadilika na muda ndo huuu! Kura yangu unayo dada.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 21, 2010

    Dada mbele kwa mbele wanao kupinga inawezekana ni ma toto ya mafisadi au ndugu zao . wa tz atuwezi kua wajinga siku zote kwani wao wana tufanyia mazuli yapi sisi wa tz si bora ata angekuepo mkolon. uwezi jua kumbe unaweza kua ni mtu muhimu ktk taifa ili kuliko mtu mwingine wowote na kuweza kuliretea taifa maendeleo ukichukulia mama zetu mbaka leo maohospital wakijifungua ulazwa chini ila wao wakubwa mama zao au wake zao wakijifungua ulazwa vitandani . sasa sijuwi hii tz ni ya watu furani tu sisi wengine ni wakupigika tu .

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 21, 2010

    Guys try to think outside the box,ma-professor wote wanakimbilia bungeni itakuwa Nakaya,embu mwacheni huyo dada au kuwa Chadema ndio kunakowasumbua?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...