Mpiganaji Amina Mollel, ambaye ni mtangazaji wa TBC, akipongezwa na JK kwa kutumia taaluma yake kuwasaidia watu wenye ulemavu kupitia vipindi vyake vya Shajara na Wape Nafasi. Baada ya kurusha kipindi chake ilimgusa sana JK ambaye alimchangia Sara Mageni wa wilayani Makete pikipiki ya Bajaji pamoja na shilingi milioni 2
Bajaji aliyopewa mama mlemavu Sara Mageni na JK

Sara Mageni ambaye ni mlemavu na anayelea watoto yatima 7 wa ndugu zake waliofariki kwa ugonjwa wa UKIMWI.
Sara Mageni akiwa katika matembezi huko Makete



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. MUNGU AKUBARIKI SANA DADA AMINA MOLLEL KWA KILE KIPINDI CHAKO CHA SHAJARA KWAN KIMEWEZESHA WATU MBALIMBALI WENYE SHIDA KUJULIKANA NA KUPATA MISAADA.NA MUNGU AKUJAALIE UPATE HIO NAFASI UBUNGE WA VITI MAALUMU ILI UWEZE KUWATETEA WEYE SHIDA.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 27, 2010

    Hongera sana dada Amina, kazi yako inaonekana. Tunakuombea dua uingie mjengoni, inshaalah!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 27, 2010

    Hawa ndo watu wa kufadhili siyo timu za mpira

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 28, 2010

    SUBHANNA LLAH MUNGU MKUBWA.SAFI KAKA J.K ENDELEZA MOYO HUO HUO KWANI MALIPO YAKO KWA MWENYEZI MUNGU NA MATUNDA YA MOYO SAFI UONEKANA HAPA HAPA
    HONGERA KWA UFADHILI WA HUYO DADA KWANI ANASTAILI KUONEWA HURUMA.
    CHAFOSA CHAI GODA
    MPILI WA MPILI

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...