Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2010

    kama mwakilishi wa Waalimu mwenyewe hawezi kuongea tungo mbili za kiswahili bila kuweka maneno ya kiingereza kweli kiswahili kitakuzwa kwa kasi tunayoitarajia.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2010

    Hi,
    Kaka vipi mbona MUCE hujawaonyesha? inamaana hawana umuhimumu? not fair

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 08, 2010

    Kweli kabisa huyo mwalimu hakutakiwa kuwa hapo bandani maana ameonyesha ni jinsi gani anavyosaidi kuangusha kasi ya kukua kwa kiswahili. Kwani asitumie kiswahili sahihi bila kuongeza maneno ya kiingereza? ati teaching aid! degree bachelor of education! Haya maneno yana kiswahili chake jamani! natoa pole kwa waliomchagua kuwa bandani.

    Mdau N.America

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 08, 2010

    Tatizo ni pale teaching aids zinatengezwa kwa ulezi na mpunga wakati mlengwa hajala @@@????+=><,,£££ bado wazee kazi tunayo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...