Ningependa kuwapatia watanzania wote fursa ya kujua mtanzamo mpya wa serikali ya Tanzania Kutoka kwa Mheshimiwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe kuhusiana na Uraia pacha( Dual Citizenship) Waziri Membe alisema hayo wakati wa mkutano wa Diaspora uliofanyika hapa London 26-27 March 2010.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2010

    Ivi Membe na JK ni ndugu??? mbona wanafanana sana?

    ReplyDelete
  2. Film nzuri,Hongera kwa wote walio andaaa :)
    Mampambano ya maendelea ya nchi yetu lazma yawe nje na ndani.Kupambambana kwa kutumia kona mbalimbali,kuna watanzania wengi ambao wanheshimika nje ya nchi na sasa ni wakati wa kushirikiana ili tuweze kuingiza nchi yetu katika Mpangilio mzuri wa usasa (USASA) ndio unaotumiwa na nchi Zilizoendelea duniani kwa sasa,na umepangwa tokea miaka ya 1918,kwa hiyo tunakazi ndugu zangu na tunaweza kama Obama aliweza.Yes we can,Mungu ibariki Tanzania na Dunia kwa ujumla

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...