Kwi kwi ya mtandao iliyokuwa inawakabili watumiaji wengi hapa nchini tangu siku ya Jumatatu imemalizika.
Kwi kwi hiyo ilisababishwa na kuharibika kwa kifaa kwenye kebo ya SEACOM inayopita chini ya bahari huko karibu na pwani ya Djibouti.
Wahusika wamefanikiwa kurejesha huduma kwa kupitia kebo tofauti kwa muda mpaka hapo kebo ya SEACOM itakaporejea hewani.
Kwi kwi hiyo ilisababishwa na kuharibika kwa kifaa kwenye kebo ya SEACOM inayopita chini ya bahari huko karibu na pwani ya Djibouti.
Wahusika wamefanikiwa kurejesha huduma kwa kupitia kebo tofauti kwa muda mpaka hapo kebo ya SEACOM itakaporejea hewani.
Habari njema, ila wateja wenu tunaomba mtufidie kwa muda tuliolazimika kukaa bila internet.
ReplyDeleteMsijitetee kwamba sio kosa lenu, ila ni kosa la SEACOM. Bali na nyinyi waambieni SEACOM wawafidie.
Fidia mojawapo inaweza kuwa punguzo la bei kwa malipo ya mwezi wa August. Punguzo liwe equivalent na bei ya siku 5 tulizokuwa offline.
Asante.
Naomba ieleweke kuwa siku hizi intaneti ni sawa na uji na mgonjwa na ni vema wahusika wakaweka tahadhari makini ili iwepo njia kamili ya dharura nyakati zote kwa kuwa samahani haifuti madhara yaliyojitokeza.
ReplyDeleteMDAU WA KWANZA HAPO JUU UMESEMA VYEMA KABISA.KWA HAPA USA NDIVYO ILIVYO JAPO UNAHITAJIKA UIPIGIE SIMU KAMPUNI HUSIKA ILI KUPATA CREDIT KWA SIKU ULIZOKOSA HUDUMA KAMA INTERNET,SIMU,TV ETC.USIPOPIGA SIMU HUPATI KWANI UMESHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAKO.
ReplyDeleteMDAU WA USA