Banda la Benki Kuu kwenye maonyesho ya SabaSaba
Wataalamu wa fedha wakiwa tayari kutoa maelezo ya jinsi ya kugundua noti feki
Kifaa maalumu cha kugundulia noti feki ambacho
noti halali huonekana mkanda wa njano baada ya kumulikwa
Mtaalamu akionesha mashine ya kuhesabia noti yenye
uwezo wa kutenganisha noti chakavu, feki na za aina moja
Ankal akipozi na wadau wa banda la maonyesho la Benki Kuu





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 02, 2010

    Benki Kuu imefanya vizuri mwaka huu kuwa na banda lake kwa ajili ya kuuonesha umma shughuli kama hizo za noti feki.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 02, 2010

    Ankal naona konoz ipo kwa mwanamuziki mwajiriwa wa BOT Vicky Kamata

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2010

    ATM za bongo,nilishawahi kutoa hela,ikatoka hela feki ya noti ya elfu 10. kwenye ATM ya barclay kinondoni karibu na soko la tx

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 02, 2010

    hawana lolote.
    uchumi wa wananchi uko doro.
    madafu yanazidi kuanguka thamani.
    hovyoooo...
    bora crdb iombwe idhibiti inflesheni.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 03, 2010

    UNCLE KONOS KWA KIMWANA DUH UNATISHAAAAAAA.PIA TEMBELEA NA BANDA LATWIGA BANCORP UONE VITUS.PIA NAOMBA BOT WATOE KOZI YA JINSI YA KUKUNJA NA KUTUNZA PESA KWANI PESA ZINACHAKAA SANA WATU WENGI HAWAJUI KUZIWEKA

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 03, 2010

    ww kiumbe unayesema ATM imetoa fedha feki kweli ww hamnazo....

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 04, 2010

    Jamani jamani wanunue kalamu za kungudua noti bandia hiyo Taa wanayotumia ina kazi yake haswa kwenye mambo ya upelelezi na ukiitumia kwenye mwanga huoni kitu ndio maana inakazi tofauti sio kugundua pesa mbaya jamani fungukeni MACHO WANA C.C.M

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...