



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Those real pearls are very expensive...mali asili tunayo hatujui kumarket tu.. Utajiri wetu bwata bwata.
ReplyDeleteHongera sana Dr. Jidawi. Tumewasiliana kwa email mara nyingi nilikuwa na picha tofauti kabisa kichwani. God bless you so much na endeleza jitihada za kuhakikisha waTanzania visiwani aka waZanzibari wana faidi rasilimali zao.
ReplyDeleteMdau
This is what we need...this is the way forward...initiative! Wa-TZ tuanze kuchukua initiative sisi watu wenyewe kwa sababu duniani kote maendeleo yanaletwa na watu; asasi na taasisi kazi zake ni kuwawezesha watu. Naomba tu niseme kuwa katika rasilimali zote za Tanzania yetu RASILIMALI KUBWA KULIKO ZOTE NI ARDHI. Wenzetu wanauana kugombania ardhi sisi tuna ardhi inakaa bure kwa ajili ya uvivu, wivu, ulevi na ukosefu wa moyo na akili ya kujituma. Kazi kungoja kila kitu tufanyiwe tu. TUAMKE JAMANI!!!!!
ReplyDeleteDr mwenyewe ndio lulu kubwa.
ReplyDeletei want the liwa soap ASAP, contact please.
ReplyDeleteankal, kwenye picha ya dr jidawi kuna utata. "chuo kikuu cha university of dar es salaam" ulikua una haraka ama umeteleza ukatumia tafsiri "sisisi"?
ReplyDelete