Kiongozi wa gwaride Meja Wilbert Kuzilwa akiongoza gwaride leo katika viwanja vya mnazi mmoja,jijini Dar kwaajili ya maadhimisho ya siku ya mashujaa hapo julai, 25
Askari wa JWTZ,Koplo Mshamu Kindamba akipuliza Tarumbela leo katika viwanja vya mnazi mmoja ikiwa ni mazoezi kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya Mashujaa hapo julai 25 ,2010.ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais Jakaya Kikwete.
Wakiwa wamejipanga vyema kabisa.
Sehemu ya Viongozi kama Mabalozi na wawakilishi wa Mashujaa wazee.
Mazoezi yakiendelea.
Kwata likipigwa.
kikosi cha askari wa FFU wakiwa mazoezini leo katika viwanja vya mnazi mmoja,jijini Dar kwa ajili ya maadhimisho ya siku ya mashujaa yatakayofanyika julai 25,7,2010.
(Picha na Mwanakombo Jumaa)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2010

    MBONA HAWA JAMAA WANAONEKANA NJAA !! MIMI NASHANGA SANA HAWA VIONGOZI WEDI !KWELI HAWAZEZI WAPILA KILA MTAZANIA KIMA AMBACHO ANAWEZA KULA KUPANGA NYUMBA NA KUISHI!! KWA HALI YA SASA KIASI CHA CHINI ATLIST LAKI NNE !!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2010

    hivi hiyo bendera ya hawa jamaa ikoje na ina maana gani? hapa inaonekana lakini imejikunja nashindwa kuielewa!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2010

    maafande wetu wana moyo sana !! kwa hali hii bora nijiajiri mwenyewe

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 24, 2010

    Mbona sioni kama wamechoka washikaji ? Tuwache kasumba .
    Ukilinganisha na majeshi ya sehemu nyengine ya Afrika hawa wameshiba kabisa !!

    ReplyDelete
  5. Kaka TrioJuly 24, 2010

    Hata mie sioni kama hwa jamaa wamechoka hta kidogo! Basi tu sie tunapenda kuponda kila kitu cha kibongo.

    Hivi siku za mashujaa tunazo ngapi? kwa maana mie nilizani siku y mshujaa Tanzania ilikuwa ni tarehe moja mwezi wa tisa ya kila mwaka.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 25, 2010

    HAPANA SIO KUCHOKA:

    ASKARI RAZIMA AWE FITI SIO FATI. IRI AWEZE KUKIMBIA MBIO MAIRI ERFU MBIRI.

    HAMUWAONI MAJESHI ENDEREVU KAMA MAREKANI NA INGEREZA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...