Habari Mzee!
Kwanza pongezi kwa kutuktanisha sisi wana jamii.
Huyu jamaa aliyekua kwenye picha alikua akiambaamba na barabara ya mwenge ubungo na baadae alielekea sinza. Alituaambia yeye haogopi soko huru la Africa ya mashariki na amejianda vilivyo na ndiyo maana anabendera zote hizo.
Nimeona tu niwashirikishe na wadau wenginge waone mambo yalivyo moto sasa hivi na hili jambo jipya la EAC.
Ni hilo tu Mzee.
Kazinjema.

mdau akikata mbuga na bendera zake na kamzigo
ni kivutio cha aina yake



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 08, 2010

    Jamani watanzania!!!!!! bendera ya USA kaiweka vizuri bendera ya Tanzania anaipeperusha mbele nyuma sijui ndani nje. Mistari upande wa mlingoti inatakiwa iwe chini sio juu......

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 08, 2010

    hii mikokoteni hafahi capital city jamani ! ndo hinayo sababisha ajali

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...