Home
Unlabelled
onesho la mavazi kusaidia hospitali ya wagonjwa wa akili yafana zanzibar serena inn
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi na wewe, ungetuwekea onyesho la mavazi bwana huyu Mwamvita tumeshamjua au ndio sponsor wa blogu yetu?
ReplyDeleteAnon. wa kwanza, kuna watu kwenye hii blog hawakauki, wewe ukimuona ruka tu stori endelea na mengineyo otherwise hutaachakutuma meseji za aina hiyo.
ReplyDeletehawa jamaa nawapa hongera sana. yani sis watz angalia akili zetu zimechukukuliwa na mambo gani..jamaa kaweka picha za miguu ya mwanamke comment kibao..lakini kwenye jambo lamaa kama hii hakuna anayetaka kulizungumzia...mambo muhimu kama haya watu wayahimize...nawapa sana jamaa hongera kwa kutoa mchango mkubwa kama huuu....dini zote zinazungumzia..serving the humanity...not seating and lay back..huu ni mfano mzuri kwa mwenye akili.vitengo vingi vya jamii vimesahaulikaa.
ReplyDelete